Lizaboni, jingalao, ritzLizaboni nae haonekani siku hizi
Unaakili sana wewe huo ndio ukweliWana mgongano wa maslahi. Ni watu wa Lumumba na wakati huo huo ni wafuasi wa makanisa ya maaskofu na wachungaji walio na mgogoro na serikali. Wameamua 'kunyuti'
Vyuo vimefungwa kwa ajili ya likizo fupi za sikukuu.
Walikuwa wanatagemea free wireless internet ya chuo kupost pumba zao.
Now hawana access ya net.