Kuponda ponda simu za wanafunzi sio sawa

Kuponda ponda simu za wanafunzi sio sawa

Halafu watu wataanza kusema St Francis wanaiba mitihani,kumbe wapo very strictly kwenye sheria.Shule nyingi wanafeli kwa vile hamna sheria ngumu
 
Hata ukiwa na PhD, siku ukivunja simu ya mwanangu nakuja kukupa discipline huko huko ndio ujue gharama za kuharibu mali za watu nyambaf. Serikali inawacheleweshea mishahara na matatizo kibao mbona hamuendi kuvunja ofisi?

Akili zako kama za bata au mjusi. Kwa mawazo kama haya sioni ajabu hata Tanzania kuwa ya kwanza kwa watu wAsioweza kushughilisha bongo zao duniani
 
Wachangiaji wengi mnaonesha hamjui madhara ya simu shuleni, lakini kwa sisi wadau wa elimu hasa shule za wasichana hatutaacha kuziponda. Kama huna uelewa wa jambo bora upite tu, siyo lazima uchangie. Mnapotosha jamii.
 
...nipeni matokeo ya hiyo while, sio wanaponda simu na bado div five kibaaaaoooo...
 
Hata yangu ilipondwagwa nliumia kwa kipind hko cha ujinga mwing ila badae niligundua ni bora ilipondwa
 
Hawa walimu na wachangiaji wengi wa thread hii wana akili za kizamani sana. Mi sikubaliani na hoja kwamba wanafunzi hawawezi kufanya vizuri kwasababu ya simu. Yeye mwalimu mwenyewe kasoma enzi hizo hakuna TV wala simu mbona kafeli masomo?

NB: Kwa Tanzania, waliofeli kuendelea na masomo ya juu ndio wanaoenda vyuo cha ualimu.

ngese wewe $&#*;::#$+;yj mamaako walifeli walimu waliomfunditsha mamaako ndo maana kakuzaa we boya
 
Jambo ni lile lile. Sisi tumeshasema kuwa shule lazima iongozwe kwa shria. Sasa kama wewe unajiona ni imara zaidi na hutaki kufuata sheria.. wataivunja sim yako. Na mimi ninaasema waivunje tuu maana sasa tumechoka.
 
ngese wewe $&#*;::#$+;yj mamaako walifeli walimu waliomfunditsha mamaako ndo maana kakuzaa we boya

Mamaangu ahusiki kwenye maneno yangu, hakuna haja ya kumtukana bibi wa watu kwa maneno ya mtu mwingine. Usitukane wazee, haipendezi.
 
Back
Top Bottom