Kuponda ponda simu za wanafunzi sio sawa

Kuponda ponda simu za wanafunzi sio sawa

Form one mpaka form six yangu nilikuwa natumia simu katika shule tofauti nlizopitia.. Kote ilikuwa hivi hivi hasa Galanos na Northern Highlands nlishuhudia simu za watu zikivunjwa. Sikuwahi kukamatwa ila naelewa madhara yake kimasomo, simu ni bora uache nyumbani, usipokuwa makini utakuwa unapoteza muda mwingi kuchat hata darasani au kutamani muda uende urudi domitory kuchat. Subiria uhuru chuoni. Huu ni mtazamo wangu
 
Jikite kwenye masomo, achana na simu dogo, ukifika Chuo utatumia sana hakuna atakaye kuuliza, siku ya UE unakufa peke yako
 
nadhani hujanielewa vizuri nilichoandika...na ndio maana nikabase kwa a-level scholars.

ni kweli kabsa mkuu, mimi nilianza kutumia simu tangu form two, na kwenye academic issues nilikua vizuri sana, form four nikapasua kama kawa afu wale walikua hawana simu wakatandika div.4 zao nzuri tu.hapa kitu cha msingi ni kujitambua kwa mwanafunzi, kuna mda wa kupiga kitabu na mda wa ku relax, nikimaanisha kuongea na wazazi na marafiki kuwaambia shule inaendeleaje.
 
Hawa walimu na wachangiaji wengi wa thread hii wana akili za kizamani sana. Mi sikubaliani na hoja kwamba wanafunzi hawawezi kufanya vizuri kwasababu ya simu. Yeye mwalimu mwenyewe kasoma enzi hizo hakuna TV wala simu mbona kafeli masomo?

NB: Kwa Tanzania, waliofeli kuendelea na masomo ya juu ndio wanaoenda vyuo cha ualimu.
 
Hawa walimu na wachangiaji wengi wa thread hii wana akili za kizamani sana. Mi sikubaliani na hoja kwamba wanafunzi hawawezi kufanya vizuri kwasababu ya simu. Yeye mwalimu mwenyewe kasoma enzi hizo hakuna TV wala simu mbona kafeli masomo?

NB: Kwa Tanzania, waliofeli kuendelea na masomo ya juu ndio wanaoenda vyuo cha ualimu.

Huna akili wewe, walimu wengi wana matokeo ya kijani acha kukalili, kama ww ni mhandisi usifikiri wote wanapenda kuwa wahandisi
 
Hawa walimu na wachangiaji wengi wa thread hii wana akili za kizamani sana. Mi sikubaliani na hoja kwamba wanafunzi hawawezi kufanya vizuri kwasababu ya simu. Yeye mwalimu mwenyewe kasoma enzi hizo hakuna TV wala simu mbona kafeli masomo?

NB: Kwa Tanzania, waliofeli kuendelea na masomo ya juu ndio wanaoenda vyuo cha ualimu.

Kweli akili zako viatu....kwa taarifa yako si kila mwalimu kafeli mitihani yake kuna walimu wana PhD ...sijui nao unawaweka kundi lipi
Think before you act
 
Kwa taarifa tu, ili suala la kuwa na simu shuleni ni ishu ya kiserikal, simu ni zaidi ya ufikiliavyo especially kwa mwanafunzi, usijaribu kulinganisha upeo wako ww, mwanafunzi mmoja mmoja na kundi kubwa la wanafunzi, fikiria mwanafunzi huyo kupitia simu apate taarifa kaachwa na kibuzi chake (usibishe wanavyo vbuzi)na inakalibia mtihani unafikri kutasomeka, je wangapi ambao walikuwa na simu shulen walizitumia kuwapigia wazee wao??
Binafsi sioni umuhimu wa simu kwa dents wa sekondari, si wakirud likizo uwa wanatumia vipi znatumika kwa kufanyeje.....
Kesi za ajab ajab fulan kaiba simu yangu, muda mwingi kuchati na kutuongezea bili ya umeme mashulen hapana mwanafunzi harusiwi kumiliki simu shuleni hii ni amri na sio ombi zikikamatwa zipondwe tu hamna namna nyingine......
Tena bora hao znapondwa tu shuleni kwangu no kikao cha bodi ni kwenda nyumbani akatumie na mzazi wake wakachati vizuri wanaonana.....
 
Mie nadhan ni mawazo mgando kwa karne hii waruhusiwe tu muda Fulani
Cause nimeona baadhi ya Wazazi wanawazuia watoto hata kuangalia tamthilia nyumbani Matokeo yake sisi tunao waruhusu wanetu wana perform better kuliko hata wao

Ah hii kali na ni ulimbukeni wa mwaka!

Unaona tamthiliya zina maana kuliko kupitia masomo yake, au kulala kwa muda muwafaka?
 
Huna akili wewe, walimu wengi wana matokeo ya kijani acha kukalili, kama ww ni mhandisi usifikiri wote wanapenda kuwa wahandisi

Labda unaongelea enzi za TANU, kwa sasa watu wengi wanaoogopa maisha na kusaga rhumba la mtaa ndio wanakuwa walimu kwasababu ndio ajira iliyokuwepo.
 
Kweli akili zako viatu....kwa taarifa yako si kila mwalimu kafeli mitihani yake kuna walimu wana PhD ...sijui nao unawaweka kundi lipi
Think before you act

Hata ukiwa na PhD, siku ukivunja simu ya mwanangu nakuja kukupa discipline huko huko ndio ujue gharama za kuharibu mali za watu nyambaf. Serikali inawacheleweshea mishahara na matatizo kibao mbona hamuendi kuvunja ofisi?
 
Salamander;Hawa walimu na wachangiaji wengi wa thread hii wana akili za kizamani sana. Mi sikubaliani na hoja kwamba wanafunzi hawawezi kufanya vizuri kwasababu ya simu. Yeye mwalimu mwenyewe kasoma enzi hizo hakuna TV wala simu mbona kafeli masomo?

NB: Kwa Tanzania, waliofeli kuendelea na masomo ya juu ndio wanaoenda vyuo cha ualimu.


Daaaahh....sijapata kuona MTU mwenye upeo mdogo kama wewe tangu nazaliwa.Hivi unadhani mwalimu amefeli ndio maana ameenda kufundisha?Mimi nikiwa Advance Umbwe Sec.kuna mshkaji alipata dvsn 1.6 alienda kusoma Ualimu pale Duce.Kwahiyo acha kukariri...Hao walimu wanadegree wanamasters,PhD...utasemaje wamefeli???Think critically.
 
Mie Nikikumata Nayo Naenda Kuiuza Na Hakuna Mjadala
 
Labda unaongelea enzi za TANU, kwa sasa watu wengi wanaoogopa maisha na kusaga rhumba la mtaa ndio wanakuwa walimu kwasababu ndio ajira iliyokuwepo.

Huyu salamander ndo mojawapo ya watu wenye upeo mdogo kabisa wa kufikiri kati ya watu niliobahatika kujadiliana nao, waulize walimu wako na staff wenzako watakwambia unapoonglea mwalim unazungumzia mtu wa namna gani
Fani na ugumu wa maisha vinaingiliana hutofautiana na mtu anayedai watu wanaosoma sana ili wawe madaktar na wahandisi wanaogopa ukali wa maisha na familia zao ni maskini
Kafanye utafit upya walimu kadhaa wana matokeo green unawatishia wengone kwetu sisi akikamatwa na simu shule hana ndo uje kuwatia deciplne unawaita walifeli.....
 
Hata ukiwa na PhD, siku ukivunja simu ya mwanangu nakuja kukupa discipline huko huko ndio ujue gharama za kuharibu mali za watu nyambaf. Serikali inawacheleweshea mishahara na matatizo kibao mbona hamuendi kuvunja ofisi?

Acha kudanganya watu hakuna mzazi wa aina yako nachelea kusema wewe huna mtoto kama unaye basi ni wakusingiziwa......
 
Mie nadhan ni mawazo mgando kwa karne hii waruhusiwe tu muda Fulani
Cause nimeona baadhi ya Wazazi wanawazuia watoto hata kuangalia tamthilia nyumbani Matokeo yake sisi tunao waruhusu wanetu wana perform better kuliko hata wao

Wanao huwa wanaenda na simu darasani? Wanafunzi hawakatazwi kutumia simu ila wanakatazwa muda wa vipindi au muda wa masomo.Unampa simu muda wa masomo ili.afanyeje? Shule ya kata mtoto akienda shule busy na simu.akirudi nyumba shughuli kibao unafikiri atafanya vizuri?
 
Hata ukiwa na PhD, siku ukivunja simu ya mwanangu nakuja kukupa discipline huko huko ndio ujue gharama za kuharibu mali za watu nyambaf. Serikali inawacheleweshea mishahara na matatizo kibao mbona hamuendi kuvunja ofisi?

Upo form ngapi mkuu?
 
Back
Top Bottom