Kuponda ponda simu za wanafunzi sio sawa

Kuponda ponda simu za wanafunzi sio sawa

wagagagigikoko

Senior Member
Joined
Dec 5, 2010
Posts
163
Reaction score
49
Fikra za kimasikini hizo. Poverty mentality


ImageUploadedByJamiiForums1437414992.626499.jpg
 
Bora zipondwepondwe tu,watoto wanasinzia madarasani kwasababu ya hizohizo simu,hazitumiki kama inavyokusudiwa na wanafunzi,wengine mwalimu yuko darasani wao wanachati kwenye magrupu yao ya whatsapp na kuangalia porno,wanafunzi wakitaka uhuru kamili wasubiri wafike chuo kikuu.
 
Niliwahigi kunyanganywa simu yangu enzi nasoma Advance... Ila walimu wetu sijui walikua wanapeleka wapi zile simu zetu
 
..........sasa wewe umeambiwa usifanye hiki unaona wewe ndo unahela sana na jeuri sana. Sasa hapo simu zitapondwa tu maramana hamna namna nyingine. Shule ni lazima ziendeshwe kwa sheria
 
bidhaa haramu haki yake ni kuteketezwa tu, hawa watoto hawasikii na hata wazaz wao hawana taarifa ya umiliki wao wa simu ndo mana hujawah sikia wazaz wakililalamikia hili na zikiwekwa ofisin ikatokea siku mwalimu amenunua simu ya aina mojawapo ya zilizokamatwa watawatangazia mbaya walimu wao, dawa ni kiziteketeza tu japo inauma na naamini wakikamata hizi za kisasa basi sheria lazima ibadilishwe
 
Mie nadhan ni mawazo mgando kwa karne hii waruhusiwe tu muda Fulani
Cause nimeona baadhi ya Wazazi wanawazuia watoto hata kuangalia tamthilia nyumbani Matokeo yake sisi tunao waruhusu wanetu wana perform better kuliko hata wao
 
Mie nadhan ni mawazo mgando kwa karne hii waruhusiwe tu muda Fulani
Cause nimeona baadhi ya Wazazi wanawazuia watoto hata kuangalia tamthilia nyumbani Matokeo yake sisi tunao waruhusu wanetu wana perform better kuliko hata wao

Eti nini? waruhusiwe ndiyo maana
 
Kwa simu nzuri sidhani kwa walimu wenye akili timamu zaidi ya kuzichukua kwa matumizi binafsi...
 
kuponda simu ni ujinga pia... wengine wanaenda na simu kwa sababu maalumu...mtoto katoka Masasi mtwara anapangiwa shule Biharamulo kagera na hana ndugu huko kwa nini asibebe simu ya kuwasiliana na wazazi wake???

hasa kwa wanafunzi wa a-level simu ni msaada sana,wangapi hawakuwa na simu na bado waka-score zero..!!! na wenye simu wakafaulu..!!!.
serikali isiruhusu simu ila na walimu wasiponde simu za watu( iwe kama ruhusa ila wasitangaze)....

mwanafunzi anyanganye simu pale tu abapotumia kwakujionesha, au mda wa vipindi darasani, au aliwa smart area/eneo la utawala na sio akiwa hostel/dormitory...
 
kuponda simu ni ujinga pia... wengine wanaenda na simu kwa sababu maalumu...mtoto katoka Masasi mtwara anapangiwa shule Biharamulo kagera na hana ndugu huko kwa nini asibebe simu ya kuwasiliana na wazazi wake???

hasa kwa wanafunzi wa a-level simu ni msaada sana,wangapi hawakuwa na simu na bado waka-score zero..!!! na wenye simu wakafaulu..!!!.
serikali isiruhusu simu ila na walimu wasiponde simu za watu( iwe kama ruhusa ila wasitangaze)....

mwanafunzi anyanganye simu pale tu abapotumia kwakujionesha, au mda wa vipindi darasani, au aliwa smart area/eneo la utawala na sio akiwa hostel/dormitory...

Wewe inaonekana hujui hata psychology ya watoto,wakiruhusiwa si ndio itakua balaa,unataka wawe wanashinda online muda wote,badala ya kusoma kazi yao iwe ni kupost mapichapicha... halafu consider na umri wao tafadhari.
 
Wewe inaonekana hujui hata psychology ya watoto,wakiruhusiwa si ndio itakua balaa,unataka wawe wanashinda online muda wote,badala ya kusoma kazi yao iwe ni kupost mapichapicha... halafu consider na umri wao tafadhari.

nadhani hujanielewa vizuri nilichoandika...na ndio maana nikabase kwa a-level scholars.
 
Back
Top Bottom