Benokolongokonongose
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 213
- 53
Salaam JF!
Nashukuru nimepona UTI kufuatia uzi fulani wa DR. MZIZIMKAVU wakati fulani akatufundisha kutibu fangasi wa aina zote kwa kutwanga kitunguu saumu na kukiweka kwenye kijiko cha chai na kuweka maji ya uvuguvugu. Binafsi nilifanya kwa siku 3 baada ya kuona nawashwa sana ukeni bila mwisho. Nikajua mh hizi ni fangasi. Kwa hiyo nimekaa sawa sasa. Asante sana JF-Drs.
Nashukuru nimepona UTI kufuatia uzi fulani wa DR. MZIZIMKAVU wakati fulani akatufundisha kutibu fangasi wa aina zote kwa kutwanga kitunguu saumu na kukiweka kwenye kijiko cha chai na kuweka maji ya uvuguvugu. Binafsi nilifanya kwa siku 3 baada ya kuona nawashwa sana ukeni bila mwisho. Nikajua mh hizi ni fangasi. Kwa hiyo nimekaa sawa sasa. Asante sana JF-Drs.