Albosignathus
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 4,898
- 1,051
Mkuu MziziMkavu samahani kwa maswali mengi, niliwahi kutumia dose hiyo kwa kusaga kitunguu swaumu kizima na kumeza kwa maji. Wacha nikisumbue mpk nikahisi kufa kufa.....
Je nikitumia punje sita mara moja kwa siku kuna ubaya??
Mmh kapime kubwa lao best wangu!!!
Last edited by a moderator: