Rusumo one
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,078
- 3,609
Wakuu miezi kadhaa iliyopita Naibu Waziri wa elimu Nchini alizungumzia kuhusu wanafunzi wa S/M kuishia std 6 kuanzia mwaka 2023. Sasa hii ni Dec 30 na alisema by this Dec 2022 ataweka mambo mezani ikiwemo kuondoa mitihani ya mwisho means mitihani itakuwa form 4, comb zitaanzia form 1. Pls Naibu Waziri njoo hapa jibu hili jambo, By mzazi wa mwanafunzi std 6 next yr 2023.