Mradi wa bomba la mafuta Uganda kwenda Tanzania hakuna fursa kwa maskini

chizcom

JF-Expert Member
Jul 31, 2016
7,581
15,720
juzi nilikuwa kwenye kikao cha kuchangamkia fursa za la bomba la mafuta ambalo linatoka uganda kupita tanzania na mikoa yote mpaka bandari ya tanga.
IMG_0792.jpg


ila kitu kilicho nishangaza hii project ndio sehemu kubwa bomba la mafuta linachukua kilomita 1400 na kitu mpaka na miundo ya kufika mafuta na vituo vya kufikisha mafuta.

wizara na idara za mifumo zinaeleza wakutengeneza project hii ni watu watakao toka nje kwa kila nyanja.

japo kuwa na mikataba yote kuanzia nchi na nchi,nchi na mikataba mpaka na chochote kwenye mikataba.

je sisi tupo kwa ajiri ya vibarua ndani ya project hii.

hapa naeleza kuna ukweli unaoficha kama yale ya makampuni ya madini kuwa na wageni kwa kisingizio cha project.

hii kitu wizara fulani muamgalie maana hata project hii imelenga wageni na sisi wazawa kuwa mfano wa vibarua !

hapa kwenye kikao tumebaki siasa na kupokea majibu dry ya ukali.

watu wana zamana ya serikali hata malipo hawana alafu mnataka kuchangamkia fursa na pesa zao bado.

project ilishaanza alafu watu washapata tenda mnataka kueleza kitu gani!

mikataba ya hii nikama tuwe tulishiriki !

kuna mengi
 
Ninachoelewa ni 'Mradi wa Mafuta kutoka Tanzania kwenda Uganda' maana Mafuta yanapakuliwa kwenye Bandari ya Tanga na kusafirishwa kwenda Uganda ...na sio kinyume chake. Tuliweke sawa kwanza hili.
Kisha mdio tufuatilie hayo mengine.

Huku kugeuza tu maneno kwenye mikataba kunaweza kuwapa wengine faida...
 
juzi nilikuwa kwenye kikao cha kuchangamkia fursa za la bomba la mafuta ambalo linatoka uganda kupita tanzania na mikoa yote mpaka bandari ya tanga.View attachment 1950090

ila kitu kilicho nishangaza hii project ndio sehemu kubwa bomba la mafuta linachukua kilomita 1400 na kitu mpaka na miundo ya kufika mafuta na vituo vya kufikisha mafuta.

wizara na idara za mifumo zinaeleza wakutengeneza project hii ni watu watakao toka nje kwa kila nyanja.

japo kuwa na mikataba yote kuanzia nchi na nchi,nchi na mikataba mpaka na chochote kwenye mikataba.

je sisi tupo kwa ajiri ya vibarua ndani ya project hii.

hapa naeleza kuna ukweli unaoficha kama yale ya makampuni ya madini kuwa na wageni kwa kisingizio cha project.

hii kitu wizara fulani muamgalie maana hata project hii imelenga wageni na sisi wazawa kuwa mfano wa vibarua !

hapa kwenye kikao tumebaki siasa na kupokea majibu dry ya ukali.

watu wana zamana ya serikali hata malipo hawana alafu mnataka kuchangamkia fursa na pesa zao bado.

project ilishaanza alafu watu washapata tenda mnataka kueleza kitu gani!

mikataba ya hii nikama tuwe tulishiriki !

kuna mengi
Ngumu kuelewa lugha yako!
 
Ninachoelewa ni 'Mradi wa Mafuta kutoka Tanzania kwenda Uganda' maana Mafuta yanapakuliwa kwenye Bandari ya Tanga na kusafirishwa kwenda Uganda ...na sio kinyume chake. Tuliweke sawa kwanza hili.
Kisha mdio tufuatilie hayo mengine.

Huku kugeuza tu maneno kwenye mikataba kunaweza kuwapa wengine faida...
Bomba ni la Uganda, linatoka Hoima Uganda hadi Tanga. Mwenye mradi ni Uganda si Tanzania. Tanzania ni conduit tu ya kupitisha mafuta kwa makubaliano maalum. Sasa kwenye mazingira kama hayo tunataka kuchamgamkia fursa gani? Mradi si wetu, mwenye mradi tayari ana plan ya namba ya kutekeleza mradi wake. Hiyo ilikuwa ipitie Kenya, Uganda ilifutilia mbali hiyo plan kwa sababu ambazo haijawekwa wazi hadi leo.

Watanzania tuache kulalamika kwa mambo yasiyotuhusu. Wa kulipwa fidia watalipwa, wenye grader na tankers za kumwaga maji, magari ya kusambaza mafuta wanaweza kupata fursa, maskini unataka kupeleka nini zaidi ya nguvukazi ya kuchimbia mtaro na kufyeka vichaka? Marhemu Mkapa alipotuita malofa hakukosea.
 
Ninachoelewa ni 'Mradi wa Mafuta kutoka Tanzania kwenda Uganda' maana Mafuta yanapakuliwa kwenye Bandari ya Tanga na kusafirishwa kwenda Uganda ...na sio kinyume chake. Tuliweke sawa kwanza hili.
Kisha mdio tufuatilie hayo mengine.

Huku kugeuza tu maneno kwenye mikataba kunaweza kuwapa wengine faida...
Hakuna ulichokielewa ama unachokielewa hapo, umeandika kama tulivyo watanzania wengi. Hayo mafuta kutoka Tanga kwenda uganda yanapatikana wapi Tanzania? Maprosoo.
 
Ninachoelewa ni 'Mradi wa Mafuta kutoka Tanzania kwenda Uganda' maana Mafuta yanapakuliwa kwenye Bandari ya Tanga na kusafirishwa kwenda Uganda ...na sio kinyume chake. Tuliweke sawa kwanza hili.
Kisha mdio tufuatilie hayo mengine.

Huku kugeuza tu maneno kwenye mikataba kunaweza kuwapa wengine faida...
Utakuwa tutusa!
 
juzi nilikuwa kwenye kikao cha kuchangamkia fursa za la bomba la mafuta ambalo linatoka uganda kupita tanzania na mikoa yote mpaka bandari ya tanga.View attachment 1950090

ila kitu kilicho nishangaza hii project ndio sehemu kubwa bomba la mafuta linachukua kilomita 1400 na kitu mpaka na miundo ya kufika mafuta na vituo vya kufikisha mafuta.

wizara na idara za mifumo zinaeleza wakutengeneza project hii ni watu watakao toka nje kwa kila nyanja.

japo kuwa na mikataba yote kuanzia nchi na nchi,nchi na mikataba mpaka na chochote kwenye mikataba.

je sisi tupo kwa ajiri ya vibarua ndani ya project hii.

hapa naeleza kuna ukweli unaoficha kama yale ya makampuni ya madini kuwa na wageni kwa kisingizio cha project.

hii kitu wizara fulani muamgalie maana hata project hii imelenga wageni na sisi wazawa kuwa mfano wa vibarua !

hapa kwenye kikao tumebaki siasa na kupokea majibu dry ya ukali.

watu wana zamana ya serikali hata malipo hawana alafu mnataka kuchangamkia fursa na pesa zao bado.

project ilishaanza alafu watu washapata tenda mnataka kueleza kitu gani!

mikataba ya hii nikama tuwe tulishiriki !

kuna mengi
.
Sasa wewe chizcom kiswahili tu kinakushinda licha ya kuzaliwa hapahapa hilo bomba la mafuta utaliweza? chizcom uunganishaji wa bomba la mafuta siyo sawa na wa bomba la maji, unahitaji ujuzi wa miaka mingi wenye viwango vya juu. Wewe unalalamikia kitu ambacho haujawahi kukitengeneza! Watanzania tumezoea kupeana madili na ujanja ujanja bila kujali ubora. Ushauri wangu kwako ni nunua masufuria, miiko, unga, mchele, maharage, kuni na sahani mpike ugali kwa ajili ya vibarua, hiyo ni fursa kubwa.
 
Back
Top Bottom