Kupima afya

Kupima afya

Hakuna haja ya kupima aiseee.

Labda kama unatafuta kufa kwa presha.

Jinsi watu wanavyochepuka kwenye mahusiano ukijifanya una moyo wa kizalendo kujipimisha kila siku, utaishia kufaidisha wakusanya takwimu tu waonekane wanafanya kazi ipasavyo, ila wewe unaishia kufa na B.P tu.
Nimecheka sana, mweeee
 
mhmhmhmhm dunia ya leo hiii ni kumshirikisha mungu tu
 
Ndugu yangu kama ulishapima mwanzo wa mahusiano na ukaambiwa huna basi tulia tu usipime tena,kwa sababu kupima kwa mara nyingine means unatafuta majibu mabaya,yaani unataka hadi uambiwe unao
 
Teh, wife akienda kliniki nitapata majibu aisee. Kama yupo negative najipa matumaini kuwa hata mimi nipo negative, lakini kupima hapana.
 
Teh, wife akienda kliniki nitapata majibu aisee. Kama yupo negative najipa matumaini kuwa hata mimi nipo negative, lakini kupima hapana.
Brod darlin, nahisi nimekusoma between the lines lol. Anyway hiyo ya mmoja kupima sio solution. Kuna ndugu yangu kila alipokuwa akienda kupima yupo negative, kumbe mwenzake anakula tu dozi kimya kimya miaka mingii
 
Brod darlin, nahisi nimekusoma between the lines lol. Anyway hiyo ya mmoja kupima sio solution. Kuna ndugu yangu kila alipokuwa akienda kupima yupo negative, kumbe mwenzake anakula tu dozi kimya kimya miaka mingii
Naelewa sana sis darling, shida ni kupima..siwezi, najipa matumaini kuwa kama yeye yupo negative basi na mimi sina shida[emoji12] . After all, I don't cheat lakini naogopa.
 
Naelewa sana sis darling, shida ni kupima..siwezi, najipa matumaini kuwa kama yeye yupo negative basi na mimi sina shida[emoji12] . After all, I don't cheat lakini naogopa.
Hahaha kuogopa sielewi kunatokeaga wapi jamani, uwe single, uwe muaminifu hofu ipo pale pale kwa kweli. Muda wa majibu sasa, looh unahisi na worms tumboni kabisa
 
Hahaha kuogopa sielewi kunatokeaga wapi jamani, uwe single, uwe muaminifu hofu ipo pale pale kwa kweli. Muda wa majibu sasa, looh unahisi na worms tumboni kabisa
Usinikumbushe siku nilipoenda kupima, ilikuwa lazima nipime coz bila hivyo huoi, damn! It was the most difficult day I've ever had in my life.

Subiri zamu yako inakuja sista, when you and your fiancee mkisubiri majibu, utatamani dunia ijigawe..
 
Usinikumbushe siku nilipoenda kupima, ilikuwa lazima nipime coz bila hivyo huoi, damn! It was the most difficult day I've ever had in my life.

Subiri zamu yako inakuja sista, when you and your fiancee mkisubiri majibu, utatamani dunia ijigawe..
Hahahahha kabla sijaenda naye, aisee itabidi nikapime tena alone kisirisiri. Baadaye tukienda wote kapresha katakuwa kamenipungua kidogo teh
 
Back
Top Bottom