Kibundi wa getto
JF-Expert Member
- Sep 28, 2013
- 455
- 875
Wakuu leo nilitoka out na my love na ndo tuna mwezi 1 ndani ya penzi.Yeye alikua na best yake,alikuja kunitambulisha kwake.
Cha ajabu tunakaribia kutoka club,kuna wanaume watatu walikua wanatusubiri nje.Ghafla wamemvamia mpenzi wangu na kuanza kumvuta mkono waondoke nae,mmoja wao akijitamba ndio mpenzi wake.
Mimi kuona hivi ikabidi niingilie,kwa kweli sio siri nimepigwa sana makofi na nimedhalilishwa mpaka kuchaniwa nguo.Walikuja watu waliokuwa karibu kuja kusaidia ndio jamaa wakakimbia.
Kwakweli nimeumia sana moyoni,kwa jinsi ninavyofahamika apa club na kitendo nilichofanyiwa mbele ya mpenzi na rafiki yake ni aibu kubwa sana,nafikiria kumuacha huyu mwanamke japo nampenda sana.
Cha ajabu tunakaribia kutoka club,kuna wanaume watatu walikua wanatusubiri nje.Ghafla wamemvamia mpenzi wangu na kuanza kumvuta mkono waondoke nae,mmoja wao akijitamba ndio mpenzi wake.
Mimi kuona hivi ikabidi niingilie,kwa kweli sio siri nimepigwa sana makofi na nimedhalilishwa mpaka kuchaniwa nguo.Walikuja watu waliokuwa karibu kuja kusaidia ndio jamaa wakakimbia.
Kwakweli nimeumia sana moyoni,kwa jinsi ninavyofahamika apa club na kitendo nilichofanyiwa mbele ya mpenzi na rafiki yake ni aibu kubwa sana,nafikiria kumuacha huyu mwanamke japo nampenda sana.