Kupigiana simu kwa wanandoa

Labda nianze kwa kukuuliza swali, je hapo awali alikua ana kupigia pigia au amebadilika alipoenda huko!? Mda mwingine unaweza kuwaza negative kumbe ndo life style yake wako ambao hawapendi kuchat wanapenda kuongea na wapo ambao hawapend kuongea wanapenda kuchat so before you judge him jarib kuangalia kma ame change au ndo alivo

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
TATIZO LINAANZIA KUANZIA KABLA YA NDOA... JE ALIKUWA AKIFANYA HIVYO PAMOJA NA KAZI? KAMA HAKUWA AKIFANYA HIVYO... BASI THE HONEYMOON IS OVER... YULE WA MWANZO ALIKUWA MSANII... HUYU WA SASA NDIO REAL...

LAKINI NO MATTER WHAT... SIO SUALA LA UVIVU KUPIGA SIMU OR ELSE... NI SUALA LA PRIORITIES...

NI LAZIMA ATAKUWA ANASHIKA SIMU TU... JE AKISHIKA SIMU NI NANI WA KWANZA PRIORITY YAKE KUMPIGIA...

LAZIMA KUNA PRIORITY KUBWA KULIKO WEWE... NI SUALA LA PRIORITIES... SIO UBUSY WALA NINI...?

NI MAWILI UENDE... AU UPUUZIE NA UVUMILIE...

NDIO MADHARA YA KUPENDEA MTU KWA AJILI PESA AU KAZI YA MTU... VUMILIA TU.

NI NADRA SANA PESA NA MAPENZI KUKUSANYIKA KWA MTU MMOJA.
Hiyo kanuni ya kimaumbile.
 
Aisee acha utoto, kwani sauti yako haijui. Kwenye ndoa au mahusiano ya muda mrefu huo ujinga nauchukia, inathibitisha bado unafikiri mapenzi tu. Akija mjinga mwingine akikutingisha kihisia kidogo tu basi utaiacha familia yako. Grow up
Mapenzi ni utoto kama ulikuw hujui, be romantic bro. Ubabe waachie wajeda unless you are the one
 
Mapenzi ni utoto kama ulikuw hujui, be romantic bro. Ubabe waachie wajeda unless you are the one
Mapenzi mwisho uchumba, ndoa ni majukumu. Ndoani unawatoto nawewe unataka kuleta utoto sasa nani amlee nani😂😂😂. Hauli mapenzi, huishi ndani ya mapenzi wala kuyavaa mapenzi so acha utoto ili ulee watoto na ndoa. Romance nineno umelitoa kwawazungu unataka uwaige😂😂😂, uchumi wanchi wala hali ya maisha nchini mwetu hairuhusu hayo mambo sista so ishi Tanzania sio kwenye tamthilia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…