kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,425
- 7,211
Lissu amesukwa na mabeberu na fisadi ili kwa kisingizio cha kudai demokrasia awasemee fisadi na washirika wa mabeberu ili waweze kuendelea kuinyonya na kuiibia nchi.
Iko hivi..kudai kwamba hakuna haki na uhuru wa maoni ni kutaka kulazimisha maoni yasiyoendana na mpango wa taifa ukiongozwa na CCM usifuatwe.
Haki na uhuru wa maoni kwao ni kuruhusu mfumo unaoruhusu rushwa na ufisadi kushamiri.
Wanataka mfumo ambapo wenye mamlaka, watu tajiri na wanasheria waweze kua huru kuuza na kununua haki huku wakiwaambia raia ndio utawala wa sheria.
Lissu anadharau mafanikio ya uchumi kwa ujenzi wa miundombinu ya barabara madaraja shule hospitali vyombo vya usafiri majini na kupiga vita uzembe na ubadhirifu etc ambayo mchango wake kwa vipato vya wananchi unaonekana badala yake anataka uhuru binafsi mtu kufanya analotaka.
Hapa inafaa kuona uhusiano wake na chama cha kimataifa cha mashoga ambao wanadai kutambuliwa na kuhemiwa tabia yao.
Nchi inahitaji tahadhari wakati Lissu atapanda majukwaani kusambaza sumu.
Iko hivi..kudai kwamba hakuna haki na uhuru wa maoni ni kutaka kulazimisha maoni yasiyoendana na mpango wa taifa ukiongozwa na CCM usifuatwe.
Haki na uhuru wa maoni kwao ni kuruhusu mfumo unaoruhusu rushwa na ufisadi kushamiri.
Wanataka mfumo ambapo wenye mamlaka, watu tajiri na wanasheria waweze kua huru kuuza na kununua haki huku wakiwaambia raia ndio utawala wa sheria.
Lissu anadharau mafanikio ya uchumi kwa ujenzi wa miundombinu ya barabara madaraja shule hospitali vyombo vya usafiri majini na kupiga vita uzembe na ubadhirifu etc ambayo mchango wake kwa vipato vya wananchi unaonekana badala yake anataka uhuru binafsi mtu kufanya analotaka.
Hapa inafaa kuona uhusiano wake na chama cha kimataifa cha mashoga ambao wanadai kutambuliwa na kuhemiwa tabia yao.
Nchi inahitaji tahadhari wakati Lissu atapanda majukwaani kusambaza sumu.