LE GAGNANT
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 1,241
- 251
Waziri magufuli alisema "watakaoshindwa kulipa nauli ya kivuko wapige mbizi kueleke upande wa pili" .
Alikosea! Maana ya kupiga mbizi ni kuzamia majini (kizungu'dive').
Neno sahihi ni kuogelea (kizungu'swim')
Alikosea! Maana ya kupiga mbizi ni kuzamia majini (kizungu'dive').
Neno sahihi ni kuogelea (kizungu'swim')