^^
Binadamu hatuna jema,
Ukiwapenda anajipendekeza,
Ukifanya mambo yako anajipendelea,
Ukifa mzee alichelewa kufa,
Ukifa mdogo, angekuwa rais huyu,
Ukioa mapema yatamshinda,
Ukichelewa kuoa, jamaa -------,
Uwe mpole anaringa,
Uwe mwongeaji muongo,
Ushinde jf hana kazi ya kufanya,
Uadimike jf amefichwa,
NDIO ASILI YETU BINADAMU.
..
Fanya lililo sahihi na Usimwogope yeyote au Kumdharau yeyote
^^