Aje mrembo? Arusha kwema? ile safari ya Denmark ulokua unaitamani imewadia ntakupa details full ukapande KLM nawewe....
nisalimie uncle zangu.
Bora niondoke mapema.........hebu nitumie hizo habari mara moja..........kabla KLM haijasitisha safari.......
Otherwise Chugga kupo poa sana........
Ahsante tumebadili ndege tutaenda na Turkish airline mama tukaione na istanbul kidogo
Eeeh......hebu tuharakishe........nivae nini........?
Mimi siwezi.........sijakuzoea halafu uanze kunicare........mwanamke mwezangu.......dunia hii ya sasa.......mweeee mweee.,.....
Ayaaaaa... kumbe umeshasagwa!! Pole my dia.
Kuna ukweli lakini si wote mimi rafiki yangu mmoja wa kiume nilianza kwa kumuonea huruma maisha yake nikawa namsaidia pesa leo ni marafiki wa ukweli.Ila zawadi ya mwanaume kwa mwanamke sehemu kubwa huwa wanategemea malipo.
Wengine makuzi tu ambayo anayo.....kaishi maisha yakujali mtu yoyote.Kumpenda adui zaidi kuliko rafiki.
Mwongo mwongoze. Kama Nia ni OVU utabaini kama nia ni NJEMA utabaini pia. Kikubwa ni kuwa mtu makini kubaini na kutambua lengo husika.
Inategemea ntu na ntu...
Kuna watu ku care ni nature yao...kuna wengine lazima ujiulize...why me?
Yote kwa yote kupendwa raha...hasa kama unajua anayekupenda si mwekezaji...(hategemei profit yoyote kwako)...
Kuna dada mmoja ananipenda mpaka najishtukia...maana mi ni bonge la don't care... kwa hiyo naona kama nashindwa kurudisha fadhila...yani mpaka mtu unakuwa uncomfortable fulani hivi...
Kuna wengine walijaribu kunipenda wenyewe wamebwaga manyanga...sipendeki lol...labda uwe for real kama huyu mdada nayemsema...
Yani kwanza sipelekeshwi na plan za mtu yeyote...zile za twende sijui wapi leo...ujanipata bado...hapo utanipendaje?
Una roho nzuri sana aisee