Kupendwa, Kujaliwa

Kupendwa, Kujaliwa

Niliwahi kumwambia mmoja, wengine wakaona nime over react, nikajisemea labda kweli.
Kuanzia siku hiyo sisemi, lakini nipo nipo tu.

Na mfanyakazi mwenzangu aliniambia niko 'mean', sijui nakosea wapi.

Hahahahah

Niliwaambiaga wadada fulani kuwa sitaki mazoea maana ndio kutafutana umbea, nilinuniwaje????
 
Ha ha ha ha, unawahitaji wote tu.

Sio muwe marafiki, lakini msiwe maadui. Imagine ni jirani yako, mkiwa maadui itakuwa ngumu hata kama humtegemei.

Mi wanawake wote waninunie huwa sina shida.........lakini sio wanaume.........nitajitundika wallah.........
 
Epuka kuwa na preconceived idea kuhusu masuala tofauti, life is a play kwanini basi usiusome mchezo na kujipanga ili ucheze vizuri. Kama unahisia mbaya na kitu na kinakufanya uncomfortable ni heri kukiepuka lakini vilevile kuwa mwangalifu na akili yako usiibane sana unaweza kuwa unafukuza watu wema kwenye maisha.
 
Kama ni mwanaume na najikuta nami nimemzimia basi nami narudisha na kuzidisha kushikamana nae na kuzoeana, kama ni mwanamke mmmhh naweka vigezo maana sie wanawake rahisi sana kugombana na kusemana hovyo kwa kukumbushia ya zamani au kufunuliana siri. So kwa mwanamke ntajiwekea mipaka asinizoee sana ila kwa mwanaume kama anajipendekeza aaah namkulan sana offer zake maana kama nimemzimikia nami atanikula tuu ila kama sijamzimikia nampotezea tena huwa nakausha hata salamu inatoka bila tabasamu.
Sina hakika kama kichwa cha habari kinabeba nachotaka kusema, ndio maana nimeweka kama swali.

Kuna ile unaishi na majirani au ofisini, basi inatokea mtu anakujali kuliko wengine au anajaribu kutengeneza ukaribu kwa makusudi kabisa. Yaani unaona s/he is trying too hard kuwa karibu yako kwa kukuletea vitu au kila saa kukufuata na kuongea hata kama hakuna common interest.

Kama ndio majirani utasikia watoto wameletwa waje wacheze na wa kwako. Kama wakubwa basi wanatumwa kuja kukusaidia sijui nini. Mradi tu someone is all over you.

Na hii ipo pia kwenye shule za wasichana, mtu anakujaali bila sababu ya msingi, unabaki unashangaa anataka nini?

Sasa mie huwa nakuwa very uncomfortable, siamini kuna free lunch duniani kiasi hicho, sijui how to reciprocate kujali huko. Nakuwa naona kama mtu anainunua roho yangu.

Wengine huwa mna deal nayo vipi hii?
 
Na hii ndio huwa nzuri.


Ujue hii ni mojawapo ya sababu nilishindwa shule za wasichana, too much caring, bora iwe kutoka kwa mwanamme utajua anataka nini. But kutoka kwa ke, its confusing, sijui how to deal with it.

Yaani tuwe washkaji tu.......ile ya kivile.......sio wale wa kupika na kupakua.......
 
Mm nakuwa comfy kama ni jinsia tofauti ila kwa mwanaume mwenzangu hapana....unakuta mtu anakutumia msg za g9t na,morng daily

I cn chat wit a woman hata zaidi ya msg mia kwa siku lkb kwa mwanaume zisizidi 15
 
Na hii ndio huwa nzuri.


Ujue hii ni mojawapo ya sababu nilishindwa shule za wasichana, too much caring, bora iwe kutoka kwa mwanamme utajua anataka nini. But kutoka kwa ke, its confusing, sijui how to deal with it.

Mimi siwezi.........sijakuzoea halafu uanze kunicare........mwanamke mwezangu.......dunia hii ya sasa.......mweeee mweee.,.....
 
Ndio hapo, unaweza fukuza watu wema bure.

At the same time, kwa mtizamo wangu urafiki hauombwi, na wala huufanyii kazi, unakuja naturally. Nikiona natumia nguvu nyingi sana kupatana na mtu naona kama utumwa fulani. Imagine, kuna gestures ndogo ndogo tu, sijui katengeneza smoothie kwake anakuletea, kesho ka bake nini anakuletea.


Mie sibebagi msosi toka home labda niandikiwe na daktari, nitarudishaje? Si lazima waendane wote wanaleteana vitu, mie nachoka kwa kweli.

Epuka kuwa na preconceived idea kuhusu masuala tofauti, life is a play kwanini basi usiusome mchezo na kujipanga ili ucheze vizuri. Kama unahisia mbaya na kitu na kinakufanya uncomfortable ni heri kukiepuka lakini vilevile kuwa mwangalifu na akili yako usiibane sana unaweza kuwa unafukuza watu wema kwenye maisha.
 
Asante kwa kunielewa, imagine jinsia moja anakutumia 'i love u'. Ok, kwa wanawake ni common, but.....

Mm nakuwa comfy kama ni jinsia tofauti ila kwa mwanaume mwenzangu hapana....unakuta mtu anakutumia msg za g9t na,morng daily

I cn chat wit a woman hata zaidi ya msg mia kwa siku lkb kwa mwanaume zisizidi 15
 
Asante kwa kunielewa, imagine jinsia moja anakutumia 'i love u'. Ok, kwa wanawake ni common, but.....

Mm hata kama wwni mke wangu nkikuta msg mwanamke mwenzio kakwambia "i love u" sitoelewa...urafiki wa jinsia tofauti unaweza kudumu sana kwa wanawake kuliko ukiwa na urafiki na mwanamke mwenzio
 
Back
Top Bottom