Antonio Conte
JF-Expert Member
- Dec 6, 2017
- 1,089
- 1,748
- Thread starter
- #41
Ha ha ha ha ha.......Umeitoa as if author wa hiyo definition ni wewe....kitaaluma kila tunapochukua sentensi ya mtu lazima tumuandike kua tumem-quote,tena kwa jina lake halisi na kitabu au paper yake alitoa!
Ufanye proper citation!
Wewe umejiongelesha as if wewe ndio owner wa hiyo definition....Umefanya kosa kubwa sana la plagiarism!
Usirudie hilo kosa tena!
Unajifanya msomi kwa kutumia kazi za wengine bila kuwataja!
Tatizo unakurupuka sn.... Nakushauri usiwe unakurupuka hivo sn.
Sasa Kwa faida yako. Author wangu wa hiyo kauli yangu ni Mungu. Sasa nkuulize bado unawaamini hao wafanya research wako na wanazuoni wako au umebadili msimamo?
Hizo sheria ziko kwenu nyie wabinafsi maana Yule aliesema tupendane si mbinafsi. Najua hapa pia huezi nielewa maana weye waelewa kinyume cha Upendo ni chuki kumbe si hivyo