Kumpenda mtu sio natural state....Ni transitional state,it is unstable state!
Kupenda mtu au kuchukia mtu ni very transitional and un-natural state.Hii stage inaletwa na arousals kutokana na external causers hivyo sio permanent.Ubongo unakua altered,unakua haupo kwenye normal state ambao ni "ukichaa"...
Bwana Conte kupenda au kuchukia ni ugonjwa,unahitaji counselling urudi normal state!
Mapenzi ni ugonjwa wa akili.....
Chuki pia ni ugonjwa wa akili....
State ya kawaida ni HURIA....
Ndio inafanya dunia kua normal na amani.....mapenzi na chuki ni hali hatari sana!