Kupenda kunaniponza

Wimbo Ulio Bora:2:7:

-Nawasihi, enyi binti za Yerusalemu, Kwa paa na kwa ayala wa porini, Msiyachochee mapenzi, wala kuyaamsha, Hata yatakapoona vema yenyewe.
 
hivi kweli wewe na akili yako unawezaje kulipenda limtu umekutanalo ukubwani bhana si bora umpende mama yako aliyekubeba tumboni miezi tisa.
 
Kama imefika hatua unaona hamuwezi kuendelea kuvumiliana Ni bora ukajitahidi kwa namna yoyote kua nae mbali. Naamini kabisa ukidhamiria kumsahau unaweza mana hilo liko ndani ya uwezo wako. Vinginevo ukijiendekeza na kusema huwezi msahau ni kuendelea kujipalilia matatizo.
 
binti njoo kwangu. mimi ni kijana mwenzako na yaliyokukuta wewe na mimi muhanga. Nakuomba saaana njoo pm tuanze mazungumzo. Mimi ni mcheshi sana, mawazo yako yooote yatafika mwisho.
 
Duh..

Ts been a year sasa...

Tutsi gl tupe mrejesho tafadhali.
 


mi nimegundua we ndo unamatatizo sana ..et unateseka sana .we huyo umezaliwa naye kwani si ulimkuta tuu kwenye huu mchafuko wa dunia .Yan umeshindwa kabisa kufanya maamuzi hapo?
 
Good advice jje's !

Majibu na ushauri wa hivi ndiyo unaozidi kuifanya Jamii Forums kuwa "Home of Great Thinkers".Hongera kwa kwa hilo ila, please nikushauri jambo! Kwenye maneno "Mdogo angu" katika aya/paragraph ya mwisho usipende sana kuyatumia unless unamfahamu mhusika kiumri.Kumradhi kwa hili.

Barikiwa sana.
 
Good Thinking Samaritan !

Baadhi yetu humu Jamii Forums tumejaaliwa majibu ya hovyo sana ila majibu yako huwa yana busara, Hekima na na tafakuri za kina kitu ambacho ni bidhaa adhimu sana katika jamii zetu.

Hongera sana Mkuu, pia Mungu azidi kukubariki.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…