Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,876
- 2,740
Nauliza hivi kwa vile naona ni wanawake zaidi ndio ving'ang'anizi ktk mahusiano. Ni utam wa uroda, hofu ya kuishi peke, kufuata mali, mkumbo, au ni janga tu la asili? Wajuzi nifahamisheni
Nauliza hivi kwa vile naona ni wanawake zaidi ndio ving'ang'anizi ktk mahusiano. Ni utam wa uroda, hofu ya kuishi peke, kufuata mali, mkumbo, au ni janga tu la asili? Wajuzi nifahamisheni
Nauliza hivi kwa vile naona ni wanawake zaidi ndio ving'ang'anizi ktk mahusiano. Ni utam wa uroda, hofu ya kuishi peke, kufuata mali, mkumbo, au ni janga tu la asili? Wajuzi nifahamisheni
wanaume ndo ving'anganizi kama kupe
hakuna mapenzi mwanandugu......mapenzi ni kudanganyana
hakuna mapenzi mwanandugu......mapenzi ni kudanganyana
Mada yako hukuifafanua zaidi tuelewe unazungumzia watu kwenye mahusiano casual au mahusiano rasmi kama ya kindoa au uchumba.
Kwenye ndoa mtu anaweza kuonekana king'ang'anizi kwa sababu kuna nira na yahusianayo.Kwenye casual - urafiki tu..sioni kwanini mtu ang'ang'anie.... labda kama wapenzi hao "wamewekeza" kiasi cha kufanya kuacha/kuachwa kuwe na athari.Hili linahitaji mjadala wa kifilosofia zaidi. Unaweza kukuta mmoja ana matarajio yaliyovuka mpaka wakati mwingine hana habari kabisa.Hivyo basi kuepuka hili kutokea, ni bora wewe unayetaka kung'ang'ania ufanye kazi ya ziada kumfanya mwenzio naye awe kwenye level ile ile uliyo wewe ya kihisia. Vinginevyo, unapohisi hamko wave length moja, ni afadhali uanze kujiondosha mara moja maana utakuja kujikuta unafanya kitu kibaya kama hata kuua!
hakuna mapenzi mwanandugu......mapenzi ni kudanganyana
Wanawake wanaongoza kwa kung'ang'ania wanaume wengine hata kama humpendi unamwonyesha LIVE lakini wapi ataendelea kukuletea vizawadi n.k chukueni ile roho ya uhuruma basi na kwenye penzi ni hivyo hivyo.
Mapenzi matamu ndo maana watu wanang'anga'niana!