Kupenda kukoje?



Hilo pepo lishindwe gari tena ? mara nyumba / HAPANA NAPINGA
 
Mr natafuta leo umekuja na uzi hujui maumivu ya mapenzi. Na leo miss natafuta kaja na uzi anatafuta bf wa uhakika amechoka kuruka ruka. Mmhh sijui mnajuana nyinyi au mtu mmoja ID tofauti.


Ndukiiiii

Hakipotei kitu hapa pangaboy haina history ya kupotea
 

ngoja nikuelewe nijuavyo mimi maana hapa naona unaleta tabia za kikwenu
 
Jamani me mwenyewe tatizo hilo ni sugu Mara kibao nagombana na mke wangu kisa sijui kupenda eti namdharau
 
Jamani me mwenyewe tatizo hilo ni sugu Mara kibao nagombana na mke wangu kisa sijui kupenda eti namdharau

Hili ni tatizo la watu wengu wame kwa wake ila hawasemi ukweli kuna watu LOVE tunaisikiaga tu
 
Hata mimi nimewahi kuwa hivyo yani girl hata atake tuachane siumii, nikawa nashangaa marafiki zangu mpaka eti mtu anachanganyikiwa nikawa nasema nyie mmerogwa.. Lakini kuna siku niliamini mapenzi noma baada ya kuzama kwa mtoto mmoja mkali mana siku amenitumia text kwamba" its over between us" nilishidwa kula so naamini time bado utapatwa tu just wait..
 
Mkuu hizi feelings natamani nisingekuwa nazo kabisa manake zinanifanya ninywe mipombe tuu sasa hivi...
 
Mkuu hizi feelings natamani nisingekuwa nazo kabisa manake zinanifanya ninywe mipombe tuu sasa hivi...
Inaelekea huyo mwenza huko karibu nae, akiwa karibu hata nje kukiwa na vita wewe utatoka ndani unasmile.
 

Hahahahahahahahah alikucheza nini mkuu ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…