tramadol
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 5,383
- 4,318
- Thread starter
- #101
Peleka ushahidi wako Polisi.Huyu anayehoji sana anajua ile barua ya ccm ya 7/8,anajua maandalizi ya hili tukio na anajua muhimbili waliandaa nini juu ya Lisu.mbona ameng'ang'ania sana apelekwe muhimbili?kwanini asaidie na kuratibu,wapi Lisu atibiwe ? Kwanini atake imani ya viongozi wake na yy juu ya muhimbili iwe imani ya mgojwa na wenyewe mgonjwa wao ? Lisu mmemuandama mpaka mmeomba idhini ya kumuua kwa magufuli,sasa mmeshindwa kumuua mnataka mkammalizie muhimbili ?mnaogopa nini au mnaumiaje akipelekwa Nairobi ? Nyie uweni upinzani tu,wapinzani waachieni maamuzi ya watu wao.marehemu wote wa ccm wanafia nje,wapinzani hawaja wahi hoji na kuomboleza kwanini hawakufia muhimbili ! Nyie kwanini muwe wema sana kwa matibabu ya wapinzani ? Ukisikia uchawi sasa ndo huu ! Kwanini huyu mtu hatulii ?lazima awe mmoja ama ktk mpango wa Lisu kuuwawa,au alishika bunduki kabisa ! Hawezi kuumia kiasi hiki na harakati za uhai wa Lisu.hatuna tu utetezi kwa upinzani ila huyu alikua wakuchunguzwa.Mungu nakushukuru sana ninapo ona adui yetu akijidhihirisha wazi kua wao ndo wahusika wa jaribio hili kwa kauli na matendo yao.zidi kuwaweka wazi siku hadi siku,na kutufunulia zaidi maovu wanayozidi kupanga dhidi yetu.usi wasazie kaba vinywani mwao waseme yote na wafanye yote ili wawe hatiani miyoyoni mwao kwa damu walizo mwaga na wasipate pumziko hadi hatua zote za kaini alizopitia zithibitike juu yao na wafe kifo kilekile cha kaini,Amen.
Sent using Jamii Forums mobile app