Kupeleka taarifa zenu zishapelekwa ila msizani mnawapata kwenye mitandao yenu kama mlivomfanyia lissu.

Kupeleka taarifa zenu zishapelekwa ila msizani mnawapata kwenye mitandao yenu kama mlivomfanyia lissu.

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
14,138
Reaction score
33,525
Shida TISS inawachukulia mataifa mengine kama vilaza walivyo wao.Ni tamia neno kilaza kama heshima kubwa kwao.

Mlichokuwa mnafanya kutrace simu za watu ambao mnaona watavujisha taarifa zenu na uchafu wenu kumbukeni internet tu inawapa shida.

Haya mtaweza kutrace hivi vifaa hata Kishada cha watoto kuweka angani mfano muwezi.

Wenzetu wana setelite ambazo zinashika mpaka mawasiliano wanayotaka na kumbukeni zina chip zao.

Mkaogopa kampuni ya starlink mkizani ndio itakuwa tatizo.
Wenzenu wana mavifaa mpaka bikini zenu na boksa zinaoneakana.

images (21).jpeg


Nikikumbuka ila Kibiti na amboni tanga si mlijulishwa na wao.

Ni kikumbuka ubalozi wa marekani unalipuliwa mlikamata watu ovyo.Ila walipokuja wao kipande cha chuma ndio kili pata mtu mpaka wahusika.
 
Wajuba wanajua mpaka mienendo ya paka na mbwa wa mmiliki wanayemfuatilia, sijui wana vyombo gani vya kutambua wanayemtaka na kumnyakua
 
Ni kikumbuka ubalozi wa marekani unalipuliwa mlikamata watu ovyo.Ila walipokuja wao kipande cha chuma ndio kili pata mtu mpaka wahusika.
Kweli kumpata bwana Ahmed Ghailan yule Mzanzibari aliyehusika na tukio la kulipua ubalozi wa Marekani Tz akili kubwa ilitumika. Wenzetu wapo mbele ya muda akili nyingi nguvu kidogo.
 
Hawa watu wakija na mitambo yao wanajua hadi jina lako halisi na aina ya chupi unazovaa, ni hatari Hawa watu
 
Back
Top Bottom