Issuna
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 3,168
- 7,513
Baba acha utani na haya amaisha hata hujauliza ukubwa wa nyumba tayari ushakokotoa???nyumba ina ukubwa gani? hata hivyo andaa fedha za mbao treated timber kama 3.5m na bati 5m na ufundi 3m, kama hujapata fundi ni PM nije nicheki site then tutaongea.