MAGO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,256
- 2,975
Sasa kama hufuatilii maandiko na mafundisho na hata kuhudhuria mikutano ya kidini utaelewa vipi yatendekayo kwa ukuu wa Mungu? Huoni kuna vifo? huoni wanawake huzaa kwa uchungu na huoni asiyefanya kazi hufa maskini kwani iliandikwa tutakula kwa jasho. Tena maandiko ya mwanzo kabisa haya ni machache kati ya mengi yasiyohesabika yanayopatikana katika maandiko.....Tangu nimezaliwa na wazazi wangu(matokeo ya kishiriki tendo la ndoa) sijawahi kuona mambo yanayoongelewa katika dini yakadhihirika.
Kwa hiyo nitakapoona, nitasadiki