King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,625
- 68,546
Heshima kwenu JF,
Kuna tangazo huwa nalisikia redioni la demu anamwambia mwanamme kama anataka awe na yeye basi akakope barclays anunue gari,nyumba na vitu vya ndani! Huo mkopo unafika hadi mil50,Sasa kwa mtu ambaye anajua utaratibu au ashachukua huo mkopo wa mil50 atujuze requirements ili nione kama I'm eligible nikachukue!
Shukrani.
Kuna tangazo huwa nalisikia redioni la demu anamwambia mwanamme kama anataka awe na yeye basi akakope barclays anunue gari,nyumba na vitu vya ndani! Huo mkopo unafika hadi mil50,Sasa kwa mtu ambaye anajua utaratibu au ashachukua huo mkopo wa mil50 atujuze requirements ili nione kama I'm eligible nikachukue!
Shukrani.