GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 63,542
- 127,848
Kwa wale mlio wazoefu na masuala haya ya mikopo,
Je! Kama mtu hana kazi au ajira ila ni msomi mzuri tu na maisha yamempiga na hana jinsi wala namna anataka kukopa pesa benki ili ajikwamue kimaisha kwa kuanzisha mradi je ataweza kukopesheka?
Katika dhamana ataweka nini ili aaminike benki au katika hizo taasisi za mikopo? Na Je! Ni benki gani au taasisi zipi hapa nchini Tanzania zinazotoa huduma hii ya kuwakopesha watu wasio na ajira / kazi wala mali lakini wamesoma?
Tusaidiane tafadhali ili wenye mahitaji kama haya na wao waweze kujikwamua kimaisha ili matapeli, malaya na majambazi wapungue mitaani.
Je! Kama mtu hana kazi au ajira ila ni msomi mzuri tu na maisha yamempiga na hana jinsi wala namna anataka kukopa pesa benki ili ajikwamue kimaisha kwa kuanzisha mradi je ataweza kukopesheka?
Katika dhamana ataweka nini ili aaminike benki au katika hizo taasisi za mikopo? Na Je! Ni benki gani au taasisi zipi hapa nchini Tanzania zinazotoa huduma hii ya kuwakopesha watu wasio na ajira / kazi wala mali lakini wamesoma?
Tusaidiane tafadhali ili wenye mahitaji kama haya na wao waweze kujikwamua kimaisha ili matapeli, malaya na majambazi wapungue mitaani.