Ewaaaaaaaa! baada ya uchakachuzi wa Segerea.....:israel::israel::israel:
......na nyumba ndogo inahalalishwa ...........Well said kajukuu....
Baioloji itaota mbawa hakika. Ananinyima kura, namnyima baioloji:yield::yield::yield::yield:
......na nyumba ndogo inahalalishwa ...........
aasee! hommie.....we acha tu.... (jana)
Hebu pigia mstari hapo:smile-big::smile-big::smile-big:
Babu umesahau kuwa men they just need place and not a reason??.....Kwa sababu hiyo hapo si sababu hata ya kununa kwani ni utashi wa mtu hata kama ni mkeo kuamua apendavyo........ but hapa yeye ushampa nafasi kumwapisha Bi Havijawa kama mbunge/diwani halali wa mapenzi yake...........we ulomnyima kura utajiju
aasee! hommie.....we acha tu.... (jana)
Hehehehe! hata kwenye mabenchi? Wanaume sisi kiboko LOLZ.
Turudi kwenye mada: No Kura No Baioloji Service.
Kwanini usimpigie kura mtu uliyekubali kwa hiyari yako kulala naye uchi? Kama umekubali akuongoze kwenye familia, unamtiliaje shaka akuongoze pia kwenye kata/jimbo/taifa?
Conclusion: Mpinzani wako kwenye kinyang'anyiro hicho atakua ni 'kidum' cha spouse wako....beyond reasonable doubts..
Hapo ni kwa mujibu wa kanuni au observations za St. Roya?
Mh kwa maana hiyo unahalalisha baba kumnyima mama kura kwa kuwa si yeye anayeiongoza familia au??......sio kwamba tunaoana sie na si itikadi zetu za kisiasa au kidini unless kwa makubaliano maalumu??Hehehehe! hata kwenye mabenchi? Wanaume sisi kiboko LOLZ.
Turudi kwenye mada: No Kura No Baioloji Service.
Kwanini usimpigie kura mtu uliyekubali kwa hiyari yako kulala naye uchi? Kama umekubali akuongoze kwenye familia, unamtiliaje shaka akuongoze pia kwenye kata/jimbo/taifa?
Mh kwa maana hiyo unahalalisha baba kumnyima mama kura kwa kuwa si yeye anayeiongoza familia au??......sio kwamba tunaoana sie na si itikadi zetu za kisiasa au kidini unless kwa makubaliano maalumu??
Mh kwa maana hiyo unahalalisha baba kumnyima mama kura kwa kuwa si yeye anayeiongoza familia au??......sio kwamba tunaoana sie na si itikadi zetu za kisiasa au kidini unless kwa makubaliano maalumu??
Mh..................so bora umpigie kura small house kuliko mkeo??..................Babu yangu asingefanya hivyo kwa jinsi ninavyomfahamu........ anachakachua lakini maslahi yote yako kwa bi mkubwa ati.....Usichafue kambi wakati huna pa kulala...nyumba ndogo akishapata uhalima Mdee anakuacha kama hakujui.Sasa MJ1 kama small house nae ni mgombea nitafanyaje?
Mh..................so bora umpigie kura small house kuliko mkeo??..................Babu yangu asingefanya hivyo kwa jinsi ninavyomfahamu........ anachakachua lakini maslahi yote yako kwa bi mkubwa ati.....Usichafue kambi wakati huna pa kulala...nyumba ndogo akishapata uhalima Mdee anakuacha kama hakujui.