sinafungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2010
- 1,527
- 865
1. Rais Benjamin Mkapa hadi anaondoka madarakani ktk ile miaka yake kumi unga wa ugali ulikuwa tsh 400/= kwa kilo KWA HAPA DSM
2. Rais Jakaya Mrisho anapokea kijiti unga tunanunua tsh 400/= kwa kilo. adi anakabidhi uongozi unga tunanunua tsh 1200/= kwa kilo.KWA HAPA DSM
3. Rais John Magufuli amechukua uongozi unga tukinunua 1200/= kwa kilo KWA HAPA DSM. uongozi wake una muda takribani mwaka na miezi kadhaaa unga tunanunua 1900/= KWA HAPA DSM
SIJAJUA HADI TUMALIZE NUSU YA UONGOZI WA AWAMU YA TANO UNGA TUTANUNUA TSH NGAPI...........??
2. Rais Jakaya Mrisho anapokea kijiti unga tunanunua tsh 400/= kwa kilo. adi anakabidhi uongozi unga tunanunua tsh 1200/= kwa kilo.KWA HAPA DSM
3. Rais John Magufuli amechukua uongozi unga tukinunua 1200/= kwa kilo KWA HAPA DSM. uongozi wake una muda takribani mwaka na miezi kadhaaa unga tunanunua 1900/= KWA HAPA DSM
SIJAJUA HADI TUMALIZE NUSU YA UONGOZI WA AWAMU YA TANO UNGA TUTANUNUA TSH NGAPI...........??