Kupanda kwa bei ya mahindi

Kupanda kwa bei ya mahindi

Baada ya miezi 3 mahindi yatauzwa 120,000/=
mwenendo wa mavuno hauridhishi Hali ambayo itapelekea kuwe na upungufu wa mahindi ndani ya nchi
 
Mbaya zaidi mvua haba za march watu wamepanda na mbegu wanezikaanga.Hali ni tete kwa kweli
 
Afadhali wakulima tunaumia sana

Mwaka jana nililima sehemu ngumu kwa usafiri...gunia lilikuwa linauzwa kijijini 30k...kulisafirisha 10k ukiuzia shamba 20 k

Unapata wapi nguvu ya kulima tena

Mahindi yafike laki 2...mkulima ataweza kuwekeza sehemu nyingine kama ujenzi na mzunguko wa pesa utakuwa vizuri
 
niliwahi kushauri miaka ya 2012 enzi waziri mkuu pinda kila siku anafunga mipaka kuwa tuuze chakula nje hata kama watu watakufa kwa njaa milioni 5 nchi iachane nao bora wafe maana waliataka wenyewe watu wakaniona nina roho mbaya, magufuli baada ya kusisitiza hakuna chakula cha msaada kamwe na watu wakauze wanapotaka leo watanzania wengi wamewekeza kwenye ilimo na kinaonekana kina faida hasahasa watu wa kati, 2014 nilishawahi kuvuna mahindi nikauza gunia sh 12000 wenzangu waliuza elfu 7000 upuuzi mtupu kila mtu alichukia kilimo, hata mabenki yalikuwa hayakopeshi kabisa wakulima, kwa hiyo bora yapande sana gunia ifike laki 2 wakulima wengi na wafanyabiashara wa kati wapat faida ya kutosha ukiona gharama kubwa na wewe kawekeze kwenye kilimo kama rahisi, tena nashauri NFRA iwahi kuuza mahindi mpunga na maharage sudan kaskazini na sudan kusini kuna uhitaji mno wa chakula , Mtanzania akipokuwa na uwezo afe tu ndo haki yake kwa muda huu
Stress mbaya sana
 
Kilimo kinalipa na hasa ukiwa na subira ya kuhifadhi mzigo kwenye ghala lako hadi kipindi cha February au machi.

Ukiuza wakati wa mavuno huwezi kupata faida
 
Kilimo kinalipa na hasa ukiwa na subira ya kuhifadhi mzigo kwenye ghala lako hadi kipindi cha February au machi.

Ukiuza wakati wa mavuno huwezi kupata faida
Katavi Watu wanatoa maindi tangu kati kati ya mwezi wa machi kaka. Weka taarifa zako vizuri.
 
Back
Top Bottom