Salam sana ndugu zangu.Ni matumaini yangu kwamba week-end inakwenda vizuri sana!
Juzi siku ya Alhamisi January 19, 2017 niliingia "mkenge" kwa kupanda gari ya magazeti ya MWANANCHI kutoka Dsm to Arusha. Nilipanda hilo gari kwa sababu nilipata wito muhimu sana wa kuonana na mtu muhimu sana kesho yake Ijmaa saa 3 kamili asuubuhi.
Na nilifanikiwa kukaa seat ya mbele,hivyo nikawa naona namna dereva anavyocheza na usukani wake barabarani.
Speed 100 km /hr n ya kawaida sana kwa gari ya magazeti. Kuna muda anatembea speed mpk 160 km/hr.Dereva alikuwa amevaa shuka la kimasai na simu yake ya touch kwenye dushboard!
Ku-overtake malori hata kwenye kona, n kitu cha kawaida sana. Dereva anateendesha gari kuna wakati ananing'iniza mkono wake mmoja dirishani kwenye mlango wake, huku mkono mmoja ukiwa ndiyo unapapasa usikani!Balaaa.
Mbaya zaidi akawa anaongea na madereva wenzie ambao nao wameondoka Dsm na kuelekea mikoani.
Kuna vitu visivyoisha,dereva alianza kuvitafuna Dsm mpk tumeingia Arusha.
Tochi za kuwathibiti hawa madereva haziwanasi jamani?
Kwann trafic wasiwakamate hao madereva pindi wanapoona muda ambao wametumia n mfupi?Na kwann wasitumie usafiri wa ndege kutawanya hayo magazeti Au kwa nn wasiongeze vituo vya uchapishaji huko mikoani?
Akikupatia niite na mimi, maana nina safari ya huko mwez ujao.Braza naomba namba ya gar ya kwenda arusha nina shida ya huo usafiri aisee
Akikupatia niite na mimi, maana nina safari ya huko mwez ujao.
Salam sana ndugu zangu.Ni matumaini yangu kwamba week-end inakwenda vizuri sana!
Juzi siku ya Alhamisi January 19, 2017 niliingia "mkenge" kwa kupanda gari ya magazeti ya MWANANCHI kutoka Dsm to Arusha. Nilipanda hilo gari kwa sababu nilipata wito muhimu sana wa kuonana na mtu muhimu sana kesho yake Ijmaa saa 3 kamili asuubuhi.
Na nilifanikiwa kukaa seat ya mbele,hivyo nikawa naona namna dereva anavyocheza na usukani wake barabarani.
Speed 100 km /hr n ya kawaida sana kwa gari ya magazeti. Kuna muda anatembea speed mpk 160 km/hr.Dereva alikuwa amevaa shuka la kimasai na simu yake ya touch kwenye dushboard!
Ku-overtake malori hata kwenye kona, n kitu cha kawaida sana. Dereva anateendesha gari kuna wakati ananing'iniza mkono wake mmoja dirishani kwenye mlango wake, huku mkono mmoja ukiwa ndiyo unapapasa usikani!Balaaa.
Mbaya zaidi akawa anaongea na madereva wenzie ambao nao wameondoka Dsm na kuelekea mikoani.
Kuna vitu visivyoisha,dereva alianza kuvitafuna Dsm mpk tumeingia Arusha.
Tochi za kuwathibiti hawa madereva haziwanasi jamani?
Kwann trafic wasiwakamate hao madereva pindi wanapoona muda ambao wametumia n mfupi?Na kwann wasitumie usafiri wa ndege kutawanya hayo magazeti Au kwa nn wasiongeze vituo vya uchapishaji huko mikoani?
Tochi(speed cam) zinatumika usiku?au mlisafiri mchana?Salam sana ndugu zangu.Ni matumaini yangu kwamba week-end inakwenda vizuri sana!
Juzi siku ya Alhamisi January 19, 2017 niliingia "mkenge" kwa kupanda gari ya magazeti ya MWANANCHI kutoka Dsm to Arusha. Nilipanda hilo gari kwa sababu nilipata wito muhimu sana wa kuonana na mtu muhimu sana kesho yake Ijmaa saa 3 kamili asuubuhi.
Na nilifanikiwa kukaa seat ya mbele,hivyo nikawa naona namna dereva anavyocheza na usukani wake barabarani.
Speed 100 km /hr n ya kawaida sana kwa gari ya magazeti. Kuna muda anatembea speed mpk 160 km/hr.Dereva alikuwa amevaa shuka la kimasai na simu yake ya touch kwenye dushboard!
Ku-overtake malori hata kwenye kona, n kitu cha kawaida sana. Dereva anateendesha gari kuna wakati ananing'iniza mkono wake mmoja dirishani kwenye mlango wake, huku mkono mmoja ukiwa ndiyo unapapasa usikani!Balaaa.
Mbaya zaidi akawa anaongea na madereva wenzie ambao nao wameondoka Dsm na kuelekea mikoani.
Kuna vitu visivyoisha,dereva alianza kuvitafuna Dsm mpk tumeingia Arusha.
Tochi za kuwathibiti hawa madereva haziwanasi jamani?
Kwann trafic wasiwakamate hao madereva pindi wanapoona muda ambao wametumia n mfupi?Na kwann wasitumie usafiri wa ndege kutawanya hayo magazeti Au kwa nn wasiongeze vituo vya uchapishaji huko mikoani?
AjabuNa pia kwa ndege gazeti liwe 2300 au?
Nimeiona mkuu, nashukur sn.Kuna mdau mwenzetu ametoa maelekezo hapo juu zinapatikana ubungo shell kuanzia saa 6 usiku, nadhan ukijongea hapo utazikuta mimi the next week nikikosa other alternative nitazipanda ntaleta mrejesho
Kwa ajili ya mashindano labdakama gari haitakiwi kutembea speed 160 kwa saa iliwekwa ya nn
Kaomba msaada anaukashifu...Nina ndugu yangu yeye dereva wa hayo magari...Aliniambia kawaida awataki kubeba abiria lkn shida zao inabidi wawachukue na mara nyingi wana lialia sana njiani inafikia mda uwataka waendelee na safari au washuke kwenye kijiji chochote wakitakacho basi wakisikia hiyo kauli wanautafuta usingizi kokote ulipo wanaamshwa washafika wale walio macho wanapewa maji wasafishe matapishi...Snitch
Nenda pale petrol station ubungo saa tatu na kuendelea au hapo tazara tsn muda huo Gari unachagua kama ni Noah, hiace au coasterBraza naomba namba ya gar ya kwenda arusha nina shida ya huo usafiri aisee
Salam sana ndugu zangu.Ni matumaini yangu kwamba week-end inakwenda vizuri sana!
Juzi siku ya Alhamisi January 19, 2017 niliingia "mkenge" kwa kupanda gari ya magazeti ya MWANANCHI kutoka Dsm to Arusha. Nilipanda hilo gari kwa sababu nilipata wito muhimu sana wa kuonana na mtu muhimu sana kesho yake Ijmaa saa 3 kamili asuubuhi.
Na nilifanikiwa kukaa seat ya mbele,hivyo nikawa naona namna dereva anavyocheza na usukani wake barabarani.
Speed 100 km /hr n ya kawaida sana kwa gari ya magazeti. Kuna muda anatembea speed mpk 160 km/hr.Dereva alikuwa amevaa shuka la kimasai na simu yake ya touch kwenye dushboard!
Ku-overtake malori hata kwenye kona, n kitu cha kawaida sana. Dereva anateendesha gari kuna wakati ananing'iniza mkono wake mmoja dirishani kwenye mlango wake, huku mkono mmoja ukiwa ndiyo unapapasa usikani!Balaaa.
Mbaya zaidi akawa anaongea na madereva wenzie ambao nao wameondoka Dsm na kuelekea mikoani.
Kuna vitu visivyoisha,dereva alianza kuvitafuna Dsm mpk tumeingia Arusha.
Tochi za kuwathibiti hawa madereva haziwanasi jamani?
Kwann trafic wasiwakamate hao madereva pindi wanapoona muda ambao wametumia n mfupi?Na kwann wasitumie usafiri wa ndege kutawanya hayo magazeti Au kwa nn wasiongeze vituo vya uchapishaji huko mikoani?