Ebhu funguka vizuri, wakati wa kuomba kazi ulificha vyeti vyako vya elimu ya juu?? hiyo post unayofanyia kazi inaitwaje??waheshimiwa naomba kujuzwa kuhusu kupanda daraja kwa mtumishi wa serikali ambaye mwanzo aliajiriwa kwa cheti kidogo sasa anataka kutoa cheti chenye elimu ya juu lugha nzuri tafadhari nawasilisha
Ebhu funguka vizuri, wakati wa kuomba kazi ulificha vyeti vyako vya elimu ya juu?? hiyo post unayofanyia kazi inaitwaje??
waheshimiwa naomba kujuzwa kuhusu kupanda daraja kwa mtumishi wa serikali ambaye mwanzo aliajiriwa kwa cheti kidogo sasa anataka kutoa cheti chenye elimu ya juu lugha nzuri tafadhari nawasilisha
Ebhu funguka vizuri, wakati wa kuomba kazi ulificha vyeti vyako vya elimu ya juu?? hiyo post unayofanyia kazi inaitwaje??
Umemaliza miaka mitatu kazini? umeajiriwa serikalini au private?!
Serikalini
Unamda gan kazini? hapo recategorization ndiyo inahusika!
miaka miwil haiwezekani mkuu mpka ufikishe mitatu