Ntopo Kilebente
Senior Member
- Apr 3, 2021
- 191
- 246
Nawasalimu kwa mvua.
Nimeona jamaa angu kapost facebook na wengin wakaja na ushuhuda, mimi pia hii hali pia hunitokea. Hivi kwanini mara nyingi huwa naota niko form six na naogopa sitafaulu mtihani wa taifa na imepita miaka kumi. Wakati mtihani niliufaulu tena kwa pointi za kuwekewa rangi asa sijui ni stress tuu
Nimeona jamaa angu kapost facebook na wengin wakaja na ushuhuda, mimi pia hii hali pia hunitokea. Hivi kwanini mara nyingi huwa naota niko form six na naogopa sitafaulu mtihani wa taifa na imepita miaka kumi. Wakati mtihani niliufaulu tena kwa pointi za kuwekewa rangi asa sijui ni stress tuu