Kuongezeka kwa wanaume tegemezi ni hatari kwa taifa letu

Nyie wanawake acheni kazi ili hizo nafasi zizibwe na wanaume na wawaoe uone kama utarudi hapa na maneno yako ya dharau. Nafasi mmezikalia kwa kisingizio cha haki sawa na kibaya zaidi ndo mnapendelewa zaidi kupata hizo fursa sasa sisi tufanyeje?

Kingine hivi hizo kazi mnaomba za nini ambazo mapato yake hamtaki yatumike kutunza familia mlioianzisha na mme wako? Mshaara unaoupata kama ni sawa na anaoupata mwanaume mwingine huku akiwa na mke ambaye hana kazi na anamtunza mambo yanaenda vizur,wewe mwanamke unashindwa nini kutumia huo mshaara wako na mme wako aisye na kazi?Ndo maana huwa nasema pesa zenu hazina umuhimu kabisa.
 
Yaan navokutafutaaa!!? Hadi huko piem nimekuja ujue, sijui nawe umefunga au ushamba wangu na hii simu
Itakuwa maana kabla ya kuifunga niliblock kabisa pm kutoka kwa previous msgs,hivyo ukituma siwezi kuipata. Ngoja nije my kaka.
 
Nyie wanawake acheni kazi ili hizo nafasi zizibwe na wanaume na wawaoe uone kama utarudi hapa na maneno yako ya dharau. Nafasi mmezikalia kwa kisingizio cha haki sawa na kibaya zaidi ndo mnapendelewa zaidi kupata hizo fursa sasa sisi tufanyeje?

Kingine hivi hizo kazi mnaomba za nini ambazo mapato yake hamtaki yatumike kutunza familia mlioianzisha na mme wako? Mshaara unaoupata kama ni sawa na anaoupata mwanaume mwingine huku akiwa na mke ambaye hana kazi na anamtunza mambo yanaenda vizur,wewe mwanamke unashindwa nini kutumia huo mshaara wako na mme wako aisye na kazi?Ndo maana huwa nasema pesa zenu hazina umuhimu kabisa.
Jamani na likija suala la kuosha vyombo na kudeki mngekuwa mnatusaidia kutetea hivi ingekuwa poa sana. Hebu mjitahidi na huko nako mpigepo kampeni, sio kwenye pesa tu.
 
Itakuwa maana kabla ya kuifunga niliblock kabisa pm kutoka kwa previous msgs,hivyo ukituma siwezi kuipata. Ngoja nije my kaka.
Basi ndo maana kumbe, maana nilikuwa nachungulia kila dk but no reply

Ila ujumbe wenyewe utakuwa umeisha-expire anyway, not valid anymore, unless unataka kuona content I can resend
 
Basi ndo maana kumbe, maana nilikuwa nachungulia kila dk but no reply

Ila ujumbe wenyewe utakuwa umeisha-expire anyway, not valid anymore, unless unataka kuona content I can resend
Hebu iresend tu dear, maana siwezi kuipata kabisa kule kwa mwanzo.
 
Jamani na likija suala la kuosha vyombo na kudeki mngekuwa mnatusaidia kutetea hivi ingekuwa poa sana. Hebu mjitahidi na huko nako mpigepo kampeni, sio kwenye pesa tu.
Sasa unadhani kama mwanaume hana kazi ya kipato atakosa cha kujishughulisha kweli angalau apote muda? Acheni ubinafsi, kwa hali umasikini utaendelea kushamili Tz,kama mwanamke mwenye kipato utahitaji mwanaume mwenye kipato pia na mkae mkijua fursa haziwezi kupatikana kwa kila mtu. Kuna watu mnapata kazi kwa michongo,kujuana na rushwa za ngono hivyo sio vizur kumuona mtu ambaye hajapata fursa kutokana na kukosa hivyo vitu nilivyovisema.
 
Sasa unadhani kama mwanaume hana kazi ya kipato atakosa cha kujishughulisha kweli angalau apote muda? Acheni ubinafsi, kwa hali umasikini utaendelea kushamili Tz,kama mwanamke mwenye kipato utahitaji mwanaume mwenye kipato pia na mkae mkijua fursa haziwezi kupatikana kwa kila mtu. Kuna watu mnapata kazi kwa michongo,kujuana na rushwa za ngono hivyo sio vizur kumuona mtu ambaye hajapata fursa kutokana na kukosa hivyo vitu nilivyovisema.
Kwani mkuu nawe si utoe rushwa ya ngono? Au hauna kifanyio!!!
Msijibweteke, ndio maana umasikini unashamiri as wanaume mmekuwa wa kulalamika tuuuuu kazi hamfanyi mnalalamikia sijui rushwa sijui nini, km zinatolewa nawe si utoe upate hiyo michongo?

Mkitaka vipato vyetu viendeshe familia hatuna shida, basi tulieni nyumbani mjishughulishe na kazi za nyumbani tukirudi kutoka kutafuta tukute mambo safi. Sawa mkuu? Afterall siku hizi sijui mmekuwaje, mnaongea tu ila familia nyingi zinaendeshwa na vipato vya wanawake.
 
Kwani mkuu nawe si utoe rushwa ya ngono? Au hauna kifanyio!!!
Msijibweteke, ndio maana umasikini unashamiri as wanaume mmekuwa wa kulalamika tuuuuu kazi hamfanyi mnalalamikia sijui rushwa sijui nini, km zinatolewa nawe si utoe upate hiyo michongo?

Mkitaka vipato vyetu viendeshe familia hatuna shida, basi tulieni nyumbani mjishughulishe na kazi za nyumbani tukirudi kutoka kutafuta tukute mambo safi. Sawa mkuu? Afterall siku hizi sijui mmekuwaje, mnaongea tu ila familia nyingi zinaendeshwa na vipato vya wanawake.
Unaonekana hauna adabu ndo maana unadiriki kusema "bora kutembea na wazee"ambao wengi wao ni waume za watu kisa kupewa pesa za bure,hapa kuna tofauti gani na kujiuza? Wewe kuwa wazi tu kwamba kipaumbele chako kwa mwanaume ni pesa, na nakuhakikishia utapata tabu sana ukiwa na hii mentality,bora uzae tu ujitunze wewe na mwanao ili huwe na amani maani kutaki mwanaume ale pesa yako,hauna chembe ya upendo au upendo kwako unaletwa na pesa.

Kingine mimi nina kazi yangu inaniingizia hiki kipato kidogo hivyo kufanya huo ufusika. Usiku mwema.
 
Unaonekana hauna adabu ndo maana unadiriki kusema "bora kutembea na wazee"ambao wengi wao ni waume za watu kisa kupewa pesa za bure,hapa kuna tofauti gani na kujiuza? Wewe kuwa wazi tu kwamba kipaumbele chako kwa mwanaume ni pesa, na nakuhakikishia utapata tabu sana ukiwa na hii mentality,bora uzae tu ujitunze wewe na mwanao ili huwe na amani maani kutaki mwanaume ale pesa yako,hauna chembe ya upendo au upendo kwako unaletwa na pesa.

Kingine mimi nina kazi yangu inaniingizia hiki kipato kidogo hivyo kufanya huo ufusika. Usiku mwema.
Wewe si umeona njia ya kupata kazi ni kutoa rushwa ya ngono maana ndipo uwezo wako ulipoishia!! Basi nimekushauri kulingana na utashi wako.

Kujiuza wote tunajiuza tu mkuu tofauti ni kuwa wewe unajiuza ile ya butter trade mie ya pesa. Nina mapenzi sana ndio maana nakushauri usithubutu kuoa kama hauna kipato maana tuko ktk dunia halisi sio hiyo yako ya kufikirika. Allmost kila kitu kinahitaji pesa, sasa kama mwanaume unategemea kufugwa si balaa hilo!!!
 
Kwani mkuu nawe si utoe rushwa ya ngono? Au hauna kifanyio!!!
Msijibweteke, ndio maana umasikini unashamiri as wanaume mmekuwa wa kulalamika tuuuuu kazi hamfanyi mnalalamikia sijui rushwa sijui nini, km zinatolewa nawe si utoe upate hiyo michongo?

Mkitaka vipato vyetu viendeshe familia hatuna shida, basi tulieni nyumbani mjishughulishe na kazi za nyumbani tukirudi kutoka kutafuta tukute mambo safi. Sawa mkuu? Afterall siku hizi sijui mmekuwaje, mnaongea tu ila familia nyingi zinaendeshwa na vipato vya wanawake.
Kwani kuna tatizo gani vipato vyenu kuendesha familia? Kwani sio pesa halali? Mbona wanaume wenye wake wasio na kazi hawalalamiki?Kipato chako ni riziki ya familia ambayo inapitia mikononi mwako kwani kuna ubaya?. Kuhusu kazi za nyumbani usitake kudanganya siku hizi wanawake wenye vipato hata wale wasio na vipato lakini waume zao wako vizuri hamfanyi kazi za ndani. Mna ajiri wadada w kusaidia. Cha msingi kama mwanamke umejaliwa una chanzo cha pesa ebu muwezeshe huyo uliyempenda kama na sisi tunavyowasaidia wake wasio na kazi kufungua vimradi mradi ili mmeo asikae ndani muda wote. Kumbukeni sio rahisi watu wote kujaaliwa kupata kazi hasa tuliopata elimu ya mkoloni na nyie mnajua athari yake inatutengeneza kutegemea kazi za maofisini tu.
 
Kwani mkuu nawe si utoe rushwa ya ngono? Au hauna kifanyio!!!
Msijibweteke, ndio maana umasikini unashamiri as wanaume mmekuwa wa kulalamika tuuuuu kazi hamfanyi mnalalamikia sijui rushwa sijui nini, km zinatolewa nawe si utoe upate hiyo michongo?

Mkitaka vipato vyetu viendeshe familia hatuna shida, basi tulieni nyumbani mjishughulishe na kazi za nyumbani tukirudi kutoka kutafuta tukute mambo safi. Sawa mkuu? Afterall siku hizi sijui mmekuwaje, mnaongea tu ila familia nyingi zinaendeshwa na vipato vya wanawake.
Kwani kuna tatizo gani vipato vyenu kuendesha familia? Kwani sio pesa halali? Mbona wanaume wenye wake wasio na kazi hawalalamiki?Kipato chako ni riziki ya familia ambayo inapitia mikononi mwako kwani kuna ubaya?. Kuhusu kazi za nyumbani usitake kudanganya siku hizi wanawake wenye vipato hata wale wasio na vipato lakini waume zao wako vizuri hamfanyi kazi za ndani. Mna ajiri wadada w kusaidia. Cha msingi kama mwanamke umejaliwa una chanzo cha pesa ebu muwezeshe huyo uliyempenda kama na sisi tunavyowasaidia wake wasio na kazi kufungua vimradi mradi ili mmeo asikae ndani muda wote. Kumbukeni sio rahisi watu wote kujaaliwa kupata kazi hasa tuliopata elimu ya mkoloni na nyie mnajua athari yake inatutengeneza kutegemea kazi za maofisini tu.
 
Kwani kuna tatizo gani vipato vyenu kuendesha familia? Kwani sio pesa halali? Mbona wanaume wenye wake wasio na kazi hawalalamiki?Kipato chako ni riziki ya familia ambayo inapitia mikononi mwako kwani kuna ubaya?. Kuhusu kazi za nyumbani usitake kudanganya siku hizi wanawake wenye vipato hata wale wasio na vipato lakini waume zao wako vizuri hamfanyi kazi za ndani. Mna ajiri wadada w kusaidia. Cha msingi kama mwanamke umejaliwa una chanzo cha pesa ebu muwezeshe huyo uliyempenda kama na sisi tunavyowasaidia wake wasio na kazi kufungua vimradi mradi ili mmeo asikae ndani muda wote. Kumbukeni sio rahisi watu wote kujaaliwa kupata kazi hasa tuliopata elimu ya mkoloni na nyie mnajua athari yake inatutengeneza kutegemea kazi za maofisini tu.
Mkuu si ndio unafanya kazi ili tusiwe na housegirl maana hauna kazi upo tu!!
Kumuwezesha siwezi labda ashuke Masihi. Vipato vyetu sisi vina matumizi mengine, vyenu ndio vya familia.

Ila hivi ujue kuna mambo yanachekesha kama sio kusikitisha, hivi mkuu unawazaje kuoa na hauna kazi(kipato) huko si ndio kurudisha maendeleo ya nchi nyuma!!!

Alafu mkuu hakuna mwanamke asie na kazi, hayupo na hatotokea.
 
Mkuu si ndio unafanya kazi ili tusiwe na housegirl maana hauna kazi upo tu!!
Kumuwezesha siwezi labda ashuke Masihi. Vipato vyetu sisi vina matumizi mengine, vyenu ndio vya familia.

Ila hivi ujue kuna mambo yanachekesha kama sio kusikitisha, hivi mkuu unawazaje kuoa na hauna kazi(kipato) huko si ndio kurudisha maendeleo ya nchi nyuma!!!

Alafu mkuu hakuna mwanamke asie na kazi, hayupo na hatotokea.
kweli kabisa hakuna mwanamke asiye na kazi ....na mbaya zaidi familia nyingi kwa sasa Tanzania wanawake ndo wanasimamia uchumi...hiki tunachokiona jf wanaume kushinda wanalalamika kuhusu wanawake huwa kinanishangaza sana maana tupo kwenye jamii na yanayoendelea tunaona.
 
Tatizo ni kwamba wanaume na wanawake wa kitanzania hawaamini kitu kinachoitwa
" UCHAWI "

Jiungeni na Freemasons, illuminati, Rothschild and Rockefeller, skull and bones,
Maisha bado yapo na ukitulia na kukomaa unaweza kuwa bilionea,

Hakuna kinacho shindikana duniani ni kufanya maamuzi magumu na sahihi.

 
Nyie wanawake acheni kazi ili hizo nafasi zizibwe na wanaume na wawaoe uone kama utarudi hapa na maneno yako ya dharau. Nafasi mmezikalia kwa kisingizio cha haki sawa na kibaya zaidi ndo mnapendelewa zaidi kupata hizo fursa sasa sisi tufanyeje?

Kingine hivi hizo kazi mnaomba za nini ambazo mapato yake hamtaki yatumike kutunza familia mlioianzisha na mme wako? Mshaara unaoupata kama ni sawa na anaoupata mwanaume mwingine huku akiwa na mke ambaye hana kazi na anamtunza mambo yanaenda vizur,wewe mwanamke unashindwa nini kutumia huo mshaara wako na mme wako aisye na kazi?Ndo maana huwa nasema pesa zenu hazina umuhimu kabisa.
well said
 
Back
Top Bottom