Kuongezeka kwa hormone ya testosterone kwa mwanaume wa miaka 32.

VendoPatrick

Member
Jun 12, 2016
15
5
Ndugu zanguni mimi ni mwanaume wa miaka 32 ninataka kuoa nimepima hormone ya testosterone ili nijue kama ninaweza kumzalisha mwanamke na kipimo kinaonesha 9.74ng/ml. Hii ina maana gani? Naomba msaada.
 
Ndugu zanguni mimi ni mwanaume wa miaka 32 ninataka kuoa nimepima hormone ya testosterone ili nijue kama ninaweza kumzalisha mwanamke na kipimo kinaonesha 9.74ng/ml. Hii ina maana gani? Naomba msaada.

For a male of your age the range for testosterone levels is 270-1,070 ng/dl (Average being 670ng/dl) !!! And for 6 month - 9 yrs male the range is 7-20 ng/dl in which it's where you lie !!! You need to undertake appropriate consultation !!!!
 
Ndugu zanguni mimi ni mwanaume wa miaka 32 ninataka kuoa nimepima hormone ya testosterone ili nijue kama ninaweza kumzalisha mwanamke na kipimo kinaonesha 9.74ng/ml. Hii ina maana gani? Naomba msaada.
Moja kama umefikia hatua ya kwenda kupima , basi lazima ulikuwa na shaka . Na ni kweli huzalishi mbengu kwa kiwango hicho cha hormones . Pole
 
For a male of your age the range for testosterone levels is 270-1,070 ng/dl (Average being 670ng/dl) !!! And for 6 month - 9 yrs male the range is 7-20 ng/dl in which it's where you lie !!! You need to undertake appropriate consultation !!!!
Duuuuuuh 270 af jamaa ana 9.74 kweli ana tatizo aiseee.... Jamaa tafuta hata mtoto wa kuasili tuu
 
Ndugu zanguni mimi ni mwanaume wa miaka 32 ninataka kuoa nimepima hormone ya testosterone ili nijue kama ninaweza kumzalisha mwanamke na kipimo kinaonesha 9.74ng/ml. Hii ina maana gani? Naomba msaada.
Nani kakuambia testosterone ni hormone zinazohusika na kuzaa. Hizo ni hormone zinazohusika na uchochezi wa wewe kufanya tendo la ndoa, Kama ulitaka kupima uwezo wako wa kuzaa ungeenda kupima sperms hizo. Waone ka zimekomaa na ziko vizur au kuna uwalakini. Anyways range ya 9.7 hiyo itakua out of 10. Kwa maana testosterone zako ziko vizuri.
 
Jamani wabongo basic chemistry si inasema 9.74ng/ml ni sawa na 9740ng/dl. Hiyo itakua zaidi ya range ya 270-1,070 ng/dl.
 
For a male of your age the range for testosterone levels is 270-1,070 ng/dl (Average being 670ng/dl) !!! And for 6 month - 9 yrs male the range is 7-20 ng/dl in which it's where you lie !!! You need to undertake appropriate consultation !!!!



Jamani Kweli PURE MATHEMATICS muliiona Ngumu! Basi Mpaka Chemistry Ya Form II inapiga chenga Kiasi Hichi???

Hivi Ni Kweli Hamkujua Kutofautia Katika Ya ng/ml na ng/dl??


Duuuuuuh 270 af jamaa ana 9.74 kweli ana tatizo aiseee.... Jamaa tafuta hata mtoto wa kuasili tuu
 
Ndugu zanguni mimi ni mwanaume wa miaka 32 ninataka kuoa nimepima hormone ya testosterone ili nijue kama ninaweza kumzalisha mwanamke na kipimo kinaonesha 9.74ng/ml. Hii ina maana gani? Naomba msaada.
Muulize huyo Dr alikupima na kukupa hayo majibu.
 
Ndugu zanguni mimi ni mwanaume wa miaka 32 ninataka kuoa nimepima hormone ya testosterone ili nijue kama ninaweza kumzalisha mwanamke na kipimo kinaonesha 9.74ng/ml. Hii ina maana gani? Naomba msaada.

Ngoja wataalam waje, Mimi nasikilizia tu hapa
 
Jamani Kweli PURE MATHEMATICS muliiona Ngumu! Basi Mpaka Chemistry Ya Form II inapiga chenga Kiasi Hichi???

Hivi Ni Kweli Hamkujua Kutofautia Katika Ya ng/ml na ng/dl??


Mkuu the units were mistakenly noted as ng/dl instead of ng/ml !!! You've unnecessarily gone too far in your perception !!!!!
 
Jambo moja muhimu la kuzingatia. Hii hormone siyo ya mchezo mchezo. Ukiamua kuiongeza kwa kuchoma sindano au vidonge usifanye kienyeji bila msaada wa wataalamu na hakikisha moyo wako uko salama. Vinginevyo..."Parapanda italia parapanda "
 
Back
Top Bottom