Sijui kama ni mimi tu lakini kuanzia mwezi huu wa nane nimeanza kusikia sana watu wenye majina haya zaidi ya muda wote maishani mwangu,
ukikaa Bar utasikia 'we Masaburi tuu utaniambia nini' ?
ukipita mitaani utasikia kijana anamtongoza binti 'achana na yule Masaburi bana mambo yote kwangu'
ofisini utasikia 'huyu bosi Masaburi tu anatusumbua sana'
kwenye daladala utasikia 'we konda acha Umasaburi hebu nipe chenji yangu'
Nauliza hivi hawa walikuwa wapi miaka yote hii nilikuwa siwasikii.
ukikaa Bar utasikia 'we Masaburi tuu utaniambia nini' ?
ukipita mitaani utasikia kijana anamtongoza binti 'achana na yule Masaburi bana mambo yote kwangu'
ofisini utasikia 'huyu bosi Masaburi tu anatusumbua sana'
kwenye daladala utasikia 'we konda acha Umasaburi hebu nipe chenji yangu'
Nauliza hivi hawa walikuwa wapi miaka yote hii nilikuwa siwasikii.