Sipo
JF-Expert Member
- Jul 25, 2008
- 2,139
- 91
Kuna makosa ya kuomba samahani kuna mengine hayana msamaha.
Fidel
kwa mfano ukiteleza ukataka kudumbukia department B halafu akawa hayuko interested hapa lazima uombe samahani
lakini ukilazimisha ukadumbukia uko department B bila ridhaa yake hilo kosa halina msamaha