feitty
JF-Expert Member
- Jul 10, 2015
- 2,594
- 4,198
Shida yao umalaya tuu... hawaridhikii sijui ni kule kufugwaa na serikali na kupewa kila kitu na nchi yenyewe kisiwa cha uvumilivuu wamejazanaa depoo tuuu hawana cha kufanya hivyo ni story za ngono tuuu wanapgaa na kutiana stimuu,kufundshana ukiwa na mwanamke mfanye hivi mbinuee vile ukiona mkeo anashindwaa tafuta wa njee
Huwa naskia sana kuwa hawa watu hawatuliagi sasa sijui kweli.But inategemea na mtu coz kuna mtu akipenda anatulia