Kuolewa na mwanajeshi

Kuolewa na mwanajeshi

Shida yao umalaya tuu... hawaridhikii sijui ni kule kufugwaa na serikali na kupewa kila kitu na nchi yenyewe kisiwa cha uvumilivuu wamejazanaa depoo tuuu hawana cha kufanya hivyo ni story za ngono tuuu wanapgaa na kutiana stimuu,kufundshana ukiwa na mwanamke mfanye hivi mbinuee vile ukiona mkeo anashindwaa tafuta wa njee

Huwa naskia sana kuwa hawa watu hawatuliagi sasa sijui kweli.But inategemea na mtu coz kuna mtu akipenda anatulia
 
Smart women marry rich men.Huyo hapana aisee .Utakufa maskini wewe shauri yako.Tafuta mwanaume anaejituma kipesa.Utaishia kukaa gongolamboto wewe ok
It depends.Kuna mtu ukiwa nae unamsoma kama ni mpenda maendeleo au vipi.Hata katika story zenu utagundua so hata yeye atakuwa anajua kwa muda aliokaa naye kama ni wamaendeleo ama vipi
 
Kabla ya kumuacha huyo jitathmini unatongozwa mara ngapi kwa mwaka. Unaweza ukamuacha huyo ukasotea benchi mda mrefu... Riziki Mungu anapanga. Huoni Sisi ni mwanajeshi na ndiye amekuwa raisi wa Misri? Kwa hiyo wanajeshi hawastaili kuoa?
 
Profession au kazi ya mtu haina uhusiano na personality ya mtu.
 
Nina boyfriend ambaye soon atakuwa mchumba wangu kwan anataka apeleke posa home na kutoa mahali ili shughuli nyingne ziendelee.Tatizo langu lililonileta hapa ni;
1.Familia yangu pamoja na marafk zangu wako against na progression yake(uanajeshi)na hii inanipa wasiwasi sana though maamzi ni ya kwetu wanasema anaweza badilika na asilimia kubwa ya ndoa nyingi za wanajeshi zimejaa matatizo ....though Mimi nimepuuza naomba Mwenye ujuzi ,ushauri kuhusu hawa watu anijuze/kunipa mwanga nisije kukosea hapa,kwani wanasema kosea yote ila sio kwenye ndoa.
2.Kwa upande wangu namuamin na napuuza hayo mameno lakin roho nyingne inaniambia inabid niwe makini na haya maamz nayokuja kuyafanya since yanahusu maisha yangu.Nawasilisha ushauri wako ni muhimu sanaaa

mshauri mzuri pekee wa jambo hili ni Mungu mama, sugua goti usali utapata majibu sahihi
 
dada hata Magufuli ni mwalimu lakini ndoa yake ina matatizo
 
achana na maneno ya watu weye. songa mbele. so unamaanisha ndoa zote zenye matatizo ni wanajeshi.
 
kwanza nikupongeze kama mmefikia hatua ya kutaka kutambulika kwa wazazi ili mfunge ndoa.
tambua kuwa kazi au fani ya mtu haihusiani na atakuwaje ndoani, nadhani kama ni mstaarabu ni mstaarabu tu jeshi halihusiani, akishajitambua yeye ni nani kwako ataacha nyota zake kazini akifika nyumbani ni baba wa familia.

kama mnapendana usisikilize ya walimwengu kwani ni mengi na yatakukatisha tamaa, wew ndio utaenda kuishi nae na ndie unamjua vizuri.
mwombe mungu sana katika kipindi hiki cha uchumba kwani huwa ndio shetani huingilia kati kuwavuruga.
sema na moyo wako na umshirikishe mungu pia. angalia amani ya moyo wako ikoje juu yake, kama ni mwenye furaha kuwa nae go ahead.

ni kweli kosea vyote ila sio mwenzi wa maisha, sasa kwa vile maisha ni yako, maamuzi yapo mikononi mwako.
 
9

Nina rafki angu(mjeda) alikuwa na galfrnd wake toka chuo huko arusha,baada ya kumaliza chuo gal akapata kazi benk huko Dom jamaa akaingia jeshi thou gal alikuwa hataki jamaa aingie jeshi(kisa:anasema eti wanajeshi huwa wanakuwa na roho mbaya),jamaa akaenda zake Monduli akarudi na nyota mbili,gal akaanza visavisa mwisho wakamwagana!Jamaa akapata mdada mwingine wakafunga ndoa saiv ana watoto wawili maisha yake yako poa tu!Yule gal katika pitapita yake akakutana na Dokta wa binadamu,mdada akamaind title la udokta akaingia kwa jamaa wakafunga ndoa toka mwaka 2012 mpaka leo hana mtoto halafu Dokta aishi visa,yeye na marafiki na starehe,gal anakonda kwa stress mpk anatia huruma!USHAUSI WANGU;kaa umchunguze huyo mjeda ukiona anakidhi haja yako usimwache aondoke ila ukiona hakidhi haja ya moyo wako achana nae(lkn usimwache kwasababu ni mjeda)
Baadhi ya dada zetu wanapitia kipindi kigumu sana. Wapo kuangalia title ya mtu badala ya kuangalia mambo ya msingi yanayojenga ndoa.
 
Jibu yafuatayo nikusaidie!
Una miaka mingapi?
Huna kichaa?
Una elimu gani?
Ulitegemea kuolewa na mwenye kazi gani?
Unafanyia kazi wapi?
Ubikira?
Watakusaidia kuolewa hao ndugu zako au marafiki zako?
Ukileta usenge we unategemea uchekewe tu?
Au unataka mwanaume muelewa, yaani ukirudi umelewa sawa, ukichelewa sawa, semina zisizoisha sawa?

mkuu nimekukubali kweli wewe ni great thinker.
 
kaolewe na mwalimu wa primary uone radha ya serikali ya magufuli nacho jua wanajeshi ni magentleman
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom