Jiandae kuwa na mitala kibao... Naongea Hilo kwa kuwa Nimetoka familia Ya Hao jamaa na kaka Zangu wote ni Wajeda lakini Hawapitwi na Pichu,,, Hasa Wanapoenda Kozi Au Mission Nje Ya Nchi.
Sikupingi...ila hyo ni fallacies kugeneralize tabia za hao watu unaowajua kwa wanajeshi wote.Kimtazamo wangu wapo hizo ni tabia za mtu...haijalishi mwanjeshi ama la...bibie amuangalie mtu wake na sikumfananisha