Kuolewa na mwanajeshi

Kuolewa na mwanajeshi

Binafsi,discipline ya kijeshijeshi toka kwa mshua imetujenga sana watoto,vinginevyo.,dah.!coz maza alikuwa mpole kupitiliza!
Wewe kama demu wa makuzi,kaolewe na mcheza show wa bendi..kiroho safi,achana na kina multmandalin!
 
Last edited by a moderator:
lady..inaonekana hayo maneno yameshakuingia na haujayapuuza.Wewe ndiye utaishi na huyo mjeda na si wengine...Hatuolewi na malaika kutoka mbinguni,tunaolewa binadamu ambao kikawaida wana madhaifu na mapungufu..ikiwa waweza kuvumilia hayo mapungufu go ahead...hakuna mkamilifu..

Acha kusikiliza wenye vichaa vya ndoa...ebu msikilize mungu na moyo wako
 
Bibie unaonyesha umekaa "ki doti komu '" huwezi mziki wa jeshi. Ndoa ni wito kama ilivyo jeshi. Maamuzi unayo mwenyewe..... kutengeneza maisha yako au kubomoa.
 
mwanaume ambaye ni mwanajeshi, mkurugenzi wa kampun fulani, raisi, wafalme, muuza mitumba, machinga, mchoma maindi, nk..
wote ni wanaume tu mtu hawi defined na profession yake but you get to know a person ili uwe na long term commitment nae..
my advice take your time to know the guy maana mtu kua na roho mbaya au mkarim sio kazi yake ndo inayo determine bali utu wake wa ndani...


and secondly jifunze kutambua unataka nini exactly afu ukijiridhisha unataka "A" then go for it maana kama kuolewa sio familia yako inaolewa bali wewe

one last thing goodluck gal ndoa zoote zina ups en down..

Thanks
 
kwani unaolewa na kaz au mtu? naona hujampenda huyo mwanaume, mi ni mke wa mjeda na wala sioni tatizo.

Nampenda Dada na yeye ananipenda I won't leave his side naaamini baadae familia itabid ikubaliane na Mimi.
 
9
Nina boyfriend ambaye soon atakuwa mchumba wangu kwan anataka apeleke posa home na kutoa mahali ili shughuli nyingne ziendelee.Tatizo langu lililonileta hapa ni;
1.Familia yangu pamoja na marafk zangu wako against na progression yake(uanajeshi)na hii inanipa wasiwasi sana though maamzi ni ya kwetu wanasema anaweza badilika na asilimia kubwa ya ndoa nyingi za wanajeshi zimejaa matatizo ....though Mimi nimepuuza naomba Mwenye ujuzi ,ushauri kuhusu hawa watu anijuze/kunipa mwanga nisije kukosea hapa,kwani wanasema kosea yote ila sio kwenye ndoa.
2.Kwa upande wangu namuamin na napuuza hayo mameno lakin roho nyingne inaniambia inabid niwe makini na haya maamz nayokuja kuyafanya since yanahusu maisha yangu.Nawasilisha ushauri wako ni muhimu sanaaa

Nina rafki angu(mjeda) alikuwa na galfrnd wake toka chuo huko arusha,baada ya kumaliza chuo gal akapata kazi benk huko Dom jamaa akaingia jeshi thou gal alikuwa hataki jamaa aingie jeshi(kisa:anasema eti wanajeshi huwa wanakuwa na roho mbaya),jamaa akaenda zake Monduli akarudi na nyota mbili,gal akaanza visavisa mwisho wakamwagana!Jamaa akapata mdada mwingine wakafunga ndoa saiv ana watoto wawili maisha yake yako poa tu!Yule gal katika pitapita yake akakutana na Dokta wa binadamu,mdada akamaind title la udokta akaingia kwa jamaa wakafunga ndoa toka mwaka 2012 mpaka leo hana mtoto halafu Dokta aishi visa,yeye na marafiki na starehe,gal anakonda kwa stress mpk anatia huruma!USHAUSI WANGU;kaa umchunguze huyo mjeda ukiona anakidhi haja yako usimwache aondoke ila ukiona hakidhi haja ya moyo wako achana nae(lkn usimwache kwasababu ni mjeda)
 
Nampenda Dada na yeye ananipenda I won't leave his side naaamini baadae familia itabid ikubaliane na Mimi.

Inaonyesha ulikuwa unahitaji kutiwa moyo na siyo kuomba ushauri maana unapoomba ushauri mtu anakupatia kulingana na mtazanmo wake pamoja na uzoefu alionao.

Kiukweli Mke mwema au mume mwema hatokani na kazi anayoifanya bali hutoka kwa Mungu ambapo wema wake hudhihirishwa na tabia na mwenendo wake binafsi, anafanya nini akiwa peke yake, akiwa na wewe au na watu wengine. Mchunguze kama anakupenda kwa dhati mpe nafasi maana maamuzi ni yako kwakuwa atakuwa wa kwako, kama matokeo yatakuwa matamu au machungu mmezaji atakuwa ni wewe mwenyewe hivyo fanya maamuzi ambayo hutojutia. Mungu akutangulie katika maamuzi yako.
 
Kama unampensa olewa nae tu mama angu, tabia ya mtu haiko katika kazi anayoifanya, kama ni mkorofi ni mkorofi tu bila kua mwanajeshi au askari.
Angalia akili yake ilivyo,unajua kuna wajinga wengine wakishakua wanajeshi basi wanajenga akilini mwao kwamba jeshini ni ubabe basi wanakua wababe wababe tu.

Kama ana akili ya kijitegemea na unadhani unampenda olewa nae tu mama,chris brown alimtwanga hawara yake rihana,wala hakua mwanajeshi wala mkurya.
 
Bibie we ulewe kama unampenda, na pia anakidhi vigezo vyako, ukisikiliza ndugu zako utachinia home kwenu.
 
Well mimi binafsi ni rafiki kibao ambao ni wajeda na pia boy wangu ni mjeda wajeda hawana tatizo wako vizuri maswala ya ubabe ni hulka ya mtu
na ukibahatika kuolewa nae zipo haki kibao zinazokulinda wewe kama mkewe ikitokea "umeona amekuonea" unaweza mshitaki kwa boss wake haki yako inatetewa
Wajeda kwa wake zao ni wapole bana na wakikupenda wanapenda kwelii
Usiogope mamy sawaa ee
 
  • Thanks
Reactions: mrm
Nampenda Dada na yeye ananipenda I won't leave his side naaamini baadae familia itabid ikubaliane na Mimi.

Jiandae kuwa na mitala kibao... Naongea Hilo kwa kuwa Nimetoka familia Ya Hao jamaa na kaka Zangu wote ni Wajeda lakini Hawapitwi na Pichu,,, Hasa Wanapoenda Kozi Au Mission Nje Ya Nchi.
 
Kitu cha kwanza kabisa cha kujiuliza, UNAMPENDA???. Kama jibu ni ndiyo basi haya mengine yota weka pembeni. Kama angekuwa anachuna watu ngozi kweli. Lakini mtu anafanya kazi halali.
Ngoja nikumegee siri dada yangu.kwenye mapenzi hakunaga komandoo. Mtu akikupenda kweli anakua mdogo.
Kw hiyo usiache kupika ukasingizia jiko la moshi.

Nayasema haya kwa sababu nishaishi maisha ya kambini. Nimeishi nao na najua kwa wanawake wanakua vipi!!
Kubali akuoe
 
Well mimi binafsi ni rafiki kibao ambao ni wajeda na pia boy wangu ni mjeda wajeda hawana tatizo wako vizuri maswala ya ubabe ni hulka ya mtu
na ukibahatika kuolewa nae zipo haki kibao zinazokulinda wewe kama mkewe ikitokea "umeona amekuonea" unaweza mshitaki kwa boss wake haki yako inatetewa
Wajeda kwa wake zao ni wapole bana na wakikupenda wanapenda kwelii
Usiogope mamy sawaa ee

hakuna kitu wasichokipenda Kama Hicho.. Na Siku Ukifanya hivyo Ushajitafutia talaka.. Huwezi kwenda kitengo kushtaki eti nimeonewa, Unajua adhabu anazopata kule Zitajenga kitu gani Moyoni Mwake? Jibu Unalo mwenyewe
 
Nina boyfriend ambaye soon atakuwa mchumba wangu kwan anataka apeleke posa home na kutoa mahali ili shughuli nyingne ziendelee.Tatizo langu lililonileta hapa ni;
1.Familia yangu pamoja na marafk zangu wako against na progression yake(uanajeshi)na hii inanipa wasiwasi sana though maamzi ni ya kwetu wanasema anaweza badilika na asilimia kubwa ya ndoa nyingi za wanajeshi zimejaa matatizo ....though Mimi nimepuuza naomba Mwenye ujuzi ,ushauri kuhusu hawa watu anijuze/kunipa mwanga nisije kukosea hapa,kwani wanasema kosea yote ila sio kwenye ndoa.
2.Kwa upande wangu namuamin na napuuza hayo mameno lakin roho nyingne inaniambia inabid niwe makini na haya maamz nayokuja kuyafanya since yanahusu maisha yangu.Nawasilisha ushauri wako ni muhimu sanaaa
mahali=mahari!?
progression=proffesion!?
 
Dada kubali tena usikawie asije akampata mjeda mwenzie tena
 
Inaonyesha ulikuwa unahitaji kutiwa moyo na siyo kuomba ushauri maana unapoomba ushauri mtu anakupatia kulingana na mtazanmo wake pamoja na uzoefu alionao.

Kiukweli Mke mwema au mume mwema hatokani na kazi anayoifanya bali hutoka kwa Mungu ambapo wema wake hudhihirishwa na tabia na mwenendo wake binafsi, anafanya nini akiwa peke yake, akiwa na wewe au na watu wengine. Mchunguze kama anakupenda kwa dhati mpe nafasi maana maamuzi ni yako kwakuwa atakuwa wa kwako, kama matokeo yatakuwa matamu au machungu mmezaji atakuwa ni wewe mwenyewe hivyo fanya maamuzi ambayo hutojutia. Mungu akutangulie katika maamuzi yako.

Amen.thanks
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom