Kuolewa na mwanajeshi

Kuolewa na mwanajeshi

Nina boyfriend ambaye soon atakuwa mchumba wangu kwan anataka apeleke posa home na kutoa mahali ili shughuli nyingne ziendelee.Tatizo langu lililonileta hapa ni;
1.Familia yangu pamoja na marafk zangu wako against na progression yake(uanajeshi)na hii inanipa wasiwasi sana though maamzi ni ya kwetu wanasema anaweza badilika na asilimia kubwa ya ndoa nyingi za wanajeshi zimejaa matatizo ....though Mimi nimepuuza naomba Mwenye ujuzi ,ushauri kuhusu hawa watu anijuze/kunipa mwanga nisije kukosea hapa,kwani wanasema kosea yote ila sio kwenye ndoa.
2.Kwa upande wangu namuamin na napuuza hayo mameno lakin roho nyingne inaniambia inabid niwe makini na haya maamz nayokuja kuyafanya since yanahusu maisha yangu.Nawasilisha ushauri wako ni muhimu sanaaa
lady Jay dee ameachana na Gadna Je Gadna ni Mwanajeshi
? Kuna Wasichana wanauza miili yao je wasichana woote ni malaya? Usiwa na mawazo mgando ww.
 
Matusi hayaruhusiwi mi nahitaj ushauri we kama umeshindwa pa kupeleka matusi yako better usichangie usitake kujifanya perfect haya mambo yanahitaj uelewa MULTimandalin
Kiukweli Unapaswa Utukanwe maana inaonekana Hujakuwa bado mtoto sana ww.
 
Last edited by a moderator:
Nina boyfriend ambaye soon atakuwa mchumba wangu kwan anataka apeleke posa home na kutoa mahali ili shughuli nyingne ziendelee.Tatizo langu lililonileta hapa ni;
1.Familia yangu pamoja na marafk zangu wako against na progression yake(uanajeshi)na hii inanipa wasiwasi sana though maamzi ni ya kwetu wanasema anaweza badilika na asilimia kubwa ya ndoa nyingi za wanajeshi zimejaa matatizo ....though Mimi nimepuuza naomba Mwenye ujuzi ,ushauri kuhusu hawa watu anijuze/kunipa mwanga nisije kukosea hapa,kwani wanasema kosea yote ila sio kwenye ndoa.
2.Kwa upande wangu namuamin na napuuza hayo mameno lakin roho nyingne inaniambia inabid niwe makini na haya maamz nayokuja kuyafanya since yanahusu maisha yangu.Nawasilisha ushauri wako ni muhimu sanaaa

Zero kabisa bwana wako sisi ndo tukushauri weka bac picha yake labda itasaidia.
 
Unequalady, fuata moyo wako unachokutuma. Ss watanzania tumeathiriwa na mitazamo yetu hasi na uoga. Nmezaliwa na kukulia na familia ya kijeshi. Maisha sio kazi unayofanya bali ni maelewano yenu.
 
Last edited by a moderator:
Unequalady, fuata moyo wako unachokutuma. Ss watanzania tumeathiriwa na mitazamo yetu hasi na uoga. Nmezaliwa na kukulia na familia ya kijeshi. Maisha sio kazi unayofanya bali ni maelewano yenu.

Thanks
 
Last edited by a moderator:
ukimpenda mtu mpende jinsi alivo ilimlad moyowako umeridhia kuwa naye
 
aisee una miaka mingapui....mnahitaji counselling pamoja na familia yakonzima....hao marafiki wu hujui kuwa wao ndio wanataka hiyo nafasi...hembuu kuwa kama uliyepevuka ....kaolewe na pchungaji basi uone kama hutapata bado matatatizo kwnye ndoa.....taaluma ya tu sio familia
 
Jibu yafuatayo nikusaidie!
Una miaka mingapi?
Huna kichaa?
Una elimu gani?
Ulitegemea kuolewa na mwenye kazi gani?
Unafanyia kazi wapi?
Ubikira?
Watakusaidia kuolewa hao ndugu zako au marafiki zako?
Ukileta usenge we unategemea uchekewe tu?
Au unataka mwanaume muelewa, yaani ukirudi umelewa sawa, ukichelewa sawa, semina zisizoisha sawa?

Hahahahahaaaa naona umeamua kufunguka aiseee nimeipenda
 
Nina boyfriend ambaye soon atakuwa mchumba wangu kwan anataka apeleke posa home na kutoa mahali ili shughuli nyingne ziendelee.Tatizo langu lililonileta hapa ni;
1.Familia yangu pamoja na marafk zangu wako against na progression yake(uanajeshi)na hii inanipa wasiwasi sana though maamzi ni ya kwetu wanasema anaweza badilika na asilimia kubwa ya ndoa nyingi za wanajeshi zimejaa matatizo ....though Mimi nimepuuza naomba Mwenye ujuzi ,ushauri kuhusu hawa watu anijuze/kunipa mwanga nisije kukosea hapa,kwani wanasema kosea yote ila sio kwenye ndoa.
2.Kwa upande wangu namuamin na napuuza hayo mameno lakin roho nyingne inaniambia inabid niwe makini na haya maamz nayokuja kuyafanya since yanahusu maisha yangu.Nawasilisha ushauri wako ni muhimu sanaaa
Khaa!! wewe jiandae na Ligwaride la usiku tu
1. Mguu upande!
2. Tulia!
3. Tawanyika!
:eek2:
 
Nina boyfriend ambaye soon atakuwa mchumba wangu kwan anataka apeleke posa home na kutoa mahali ili shughuli nyingne ziendelee.Tatizo langu lililonileta hapa ni;
1.Familia yangu pamoja na marafk zangu wako against na progression yake(uanajeshi)na hii inanipa wasiwasi sana though maamzi ni ya kwetu wanasema anaweza badilika na asilimia kubwa ya ndoa nyingi za wanajeshi zimejaa matatizo ....though Mimi nimepuuza naomba Mwenye ujuzi ,ushauri kuhusu hawa watu anijuze/kunipa mwanga nisije kukosea hapa,kwani wanasema kosea yote ila sio kwenye ndoa.
2.Kwa upande wangu namuamin na napuuza hayo mameno lakin roho nyingne inaniambia inabid niwe makini na haya maamz nayokuja kuyafanya since yanahusu maisha yangu.Nawasilisha ushauri wako ni muhimu sanaaa

It takes a strong woman to marry a military man
 
Hao jamaa ni waz1#/nz balaa.

Hii kitu nimekiona sanaaa, sijawahi shuhudia(kwa ninaowafahamu) ambae ametulia, ni vitombi hatari, sasa sijui ni nature ya kazi au? Tukubali tukatae ila kazi huwa zina influence tabia za watu, fanya research utagundua hilo.
 
Nina boyfriend ambaye soon atakuwa mchumba wangu kwan anataka apeleke posa home na kutoa mahali ili shughuli nyingne ziendelee.Tatizo langu lililonileta hapa ni;
1.Familia yangu pamoja na marafk zangu wako against na progression yake(uanajeshi)na hii inanipa wasiwasi sana though maamzi ni ya kwetu wanasema anaweza badilika na asilimia kubwa ya ndoa nyingi za wanajeshi zimejaa matatizo ....though Mimi nimepuuza naomba Mwenye ujuzi ,ushauri kuhusu hawa watu anijuze/kunipa mwanga nisije kukosea hapa,kwani wanasema kosea yote ila sio kwenye ndoa.
2.Kwa upande wangu namuamin na napuuza hayo mameno lakin roho nyingne inaniambia inabid niwe makini na haya maamz nayokuja kuyafanya since yanahusu maisha yangu.Nawasilisha ushauri wako ni muhimu sanaaa

Sasa wewe naona unapoteza mwelekeo
1) Nani anaeolewa? ni wewe au hao ndugu zako?
2) Unaolewa na m2 au Kazi aliyonayo?
Na kama unaolewa na m2 mwombe mungu awajalie upendo wa dhati achana na hizo kauli za kimtaa ooh familia nyingi za wanajeshi zimejaa mateso. Kasema nani? na hao wanaosema washindwe kwa jina la yesu. sema ameeeeen
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom