Swali zuri sana FLKumbe wewe nani huwa anakusugua mgongo??
futa kauli yako please kabla sijachafua monitor yako, najua kutukana so dont try
Ok AK ila yeye ameniita mpumbavu, sasa ni right kwake tu kutukana OK i have changed the words up there so lets get back to the topicHumu tunatumia hekima na wala si ujasiri wa kutukana. Ndio maana watu hawakupenda mkeo kumuita hivyo kama wewe unajiita sawa ile yeye muache abakie kuwa mkeo na sio hilo jina lenye kuchefua. Amani plz
Mimi bado sijawahi kuoga kama hivyo na ningependa nijaribu lakini nyumba ya kupanga ninayokaa hairuhusu.
Choo chenyewe cha shimo,maji pia hakuna,tunaingia kila mmoja na ndoo yake ,na huwa tunaingia kwa foleni.
Mimi bado sijawahi kuoga kama hivyo na ningependa nijaribu lakini nyumba ya kupanga ninayokaa hairuhusu.
Choo chenyewe cha shimo,maji pia hakuna,tunaingia kila mmoja na ndoo yake ,na huwa tunaingia kwa foleni.