Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
Tuwe wakweli jamani. Wanawake wengi (sio wote) wenye asili ya kiafrika huwa hatuoshi nywele kila siku. Wengi wetu huosha mara moja kwa wiki au kama mtu una uwezo mara mbili kwa wiki. Hii ni kutokana na hair styles tulizonazo. Mtu aliyeweka perm sio rahisi aoshe nywele kila siku. Aliyesuka pia vile vile sio rahisi. Walio na nywele natural ndio wanaweza kuosha kila siku.
sawa. na kuoga je? waoga na mpenzi/mumeo?