Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 9,036
- 15,758
KabisaYani watu mnaojiunga jf siku za karibuni wengi sio GT
Hii replay niliitegemea kuikuta na kama nisingeikuta ningeiandika mimi ha ha haKajifunze kuandika kwanza ndio utajua raha yake..ebooh
Togwa limeshatiwa maji.Yani watu mnaojiunga jf siku za karibuni wengi sio GT
Ndoa ina raha sana ukimpata soulmate wako, ila wale wenzangu na mie waliooa kwa sababu tu wamependa kuwa na familia cha moto wanakipataMkuu
Kuna raha nyingi ,mimi nina mwaka wa tano huu kwenye ndoa yafuatayo nafaidi
1.mke wangu ndio rafiki niliyetaman kuwa nae karibu sana muda mwingi,sasa tupo wote,so tupo wote na ni mshikaji wangu kinouma
2.sichoti maji tena maji kwingine,nakunywa maji kwangu,nimekwepa kabisa zile karaha za maji
3.nilikuwa nafuja hela balaa,now tupo good wife ana make money balaa kwenye biashara
4.napenda draft ,karata,game zi ngine za soft ware,ila sasa kwakuwa mshikaji nipo nae,kila jioni ananisubiri ,yaan tunacheza balaa,mpka muda mwingine tuna maindishana ka tupo kijiwe cha draft, yaan hadi raha
Na sasa daughter amekuwa kuwa naye anacheza baadhi ya gemu,ko wote watatu tukijoin hadi raha...
5.maendeleo ya kiroho nilikuwa hovyo sana,mshikaji wangu tumewekana poa sana,kila siku namshukuru mungu sana kwa huyo rafiki angu wa ukweli
Kuna mengi yenye faida,lakini changamoto Zipo na ni za kawaida sana,,, kikubwa wew unataka kula ili uishi au unaishi ili ule
Ndoa ina raha sana ukimpata soulmate wako, ila wale wenzangu na mie waliooa kwa sababu tu wamependa kuwa na familia cha moto wanakipata
NoomaaaKajifunze kuandika kwanza ndio utajua raha yake..ebooh
Darasa ilikua ngumuDuuh,kiswahili yako mbovu sana mkuu,..ulikimbia umande nn!??
SawaaaaaaaLaha? Nani akupe jibu? Ukishajua kuandika kwa ufasaha urudi, utapata jibu!!!
Kuwa mwili mmja na mwanamkeKuowa ndo nini!?
nniLaha yake ni Ku....to...mbewa.... Mkeo
Haswa hili ndo jibu Mimi na uliza wananijibu ovyo asante sanaa ngoja niowe mwakani napatatabuMkuu
Kuna raha nyingi ,mimi nina mwaka wa tano huu kwenye ndoa yafuatayo nafaidi
1.mke wangu ndio rafiki niliyetaman kuwa nae karibu sana muda mwingi,sasa tupo wote,so tupo wote na ni mshikaji wangu kinouma
2.sichoti maji tena maji kwingine,nakunywa maji kwangu,nimekwepa kabisa zile karaha za maji
3.nilikuwa nafuja hela balaa,now tupo good wife ana make money balaa kwenye biashara
4.napenda draft ,karata,game zi ngine za soft ware,ila sasa kwakuwa mshikaji nipo nae,kila jioni ananisubiri ,yaan tunacheza balaa,mpka muda mwingine tuna maindishana ka tupo kijiwe cha draft, yaan hadi raha
Na sasa daughter amekuwa kuwa naye anacheza baadhi ya gemu,ko wote watatu tukijoin hadi raha...
5.maendeleo ya kiroho nilikuwa hovyo sana,mshikaji wangu tumewekana poa sana,kila siku namshukuru mungu sana kwa huyo rafiki angu wa ukweli
Kuna mengi yenye faida,lakini changamoto Zipo na ni za kawaida sana,,, kikubwa wew unataka kula ili uishi au unaishi ili ule
Koa1. Kuowa = ( ? )
2. Laha = ( ? )
Rudi darasani kwanza.
Mshukuluni mungu kwa ujinga wa MTU usimchukie Bali mwombeeniHuyu lofa hata kuandika hajui; unaweza ukadhani ni mwanafunzi wa darasa la kwanza!
Sibola ingekua hivo nime ishia la pili lakni jibu hapo najua ume elewaUmepangiwa shule gani kuanza kidato cha kwanza?
Pole ko ushauli nipate pazuri sio niskulupukeNdoa ina raha sana ukimpata soulmate wako, ila wale wenzangu na mie waliooa kwa sababu tu wamependa kuwa na familia cha moto wanakipata
Wohhhh I like your answersusioe kama hujiskii,kuna watu mlizaliwa kuwa mapadre,lol