Kuoa Mwanamke wa Kizungu raha kweli

Kuoa Mwanamke wa Kizungu raha kweli

Mfano wewe huwezi kujenga maisha yako wakati Mama yako na wadogo wanalala sehemu duni lazima utataka uboreshe maisha ya nyumbani Kwanza ndiyo uwaze kujenga maisha na mwenza wako miaka mingi mtakuwa mnadili na matatizo ya familia zenu kuliko kudili na kujenga uchumi wa familia yako na mwenza wako, nitofauti ukioa au kuolewa na mzungu chakwanza mtapanga mipango pamoja ya kiuchumi na kifamilia na hata mwenza akitangulia mbele za aki huwezi kusikia migogoro ya kugombea mirathi kutoka upande wa wazazi na ndug.

Sent using Jamii Forums mobile app
Waliokuzunguka wakiwa masikini wa kutupwa utajiri wako hauna maana.
 
Kwahyo wanependa sekisi[emoji28][emoji28]
 
Dona na maharage pia anakupikia? Mkioa Wazungu mnasafisha vyombo na kupika, huku kwetu mkioa tu mnakua vilema mpaka maji ya kuoga muwekewe bafuni.
mzungu hana jiko la mkaa weye hujui kitu.....unazani anaosha vyombo kwa dodoki km nyie mwee!! Sijui usugue sufuria...mawee kule ni mitambo tu.tatizo unasubiri kupokea chakula mezani hujui...
Kufua pale kazi kubwa ni kukusanya nguo tu..maisha ya kizungu huyajui basi tu..
 
Back
Top Bottom