baba aura
JF-Expert Member
- Aug 5, 2023
- 230
- 348
Habari Wakuu,
Leteni ushuhuda hapa wadau kwa wale walemavu waliooa au kuolewa na mulemavu mwenzie.
Nianze na upande wangu, mimi ni mlemavu wa sikio (kutosikia vizuri), nimeoa dada mwenye tatizo kama langu na maisha yanaenda kama kawaida
Kuoa mlemavu sio kufeli!
Leteni ushuhuda hapa wadau kwa wale walemavu waliooa au kuolewa na mulemavu mwenzie.
Nianze na upande wangu, mimi ni mlemavu wa sikio (kutosikia vizuri), nimeoa dada mwenye tatizo kama langu na maisha yanaenda kama kawaida
Kuoa mlemavu sio kufeli!