KUOA / KUOLEWA ....

KUOA / KUOLEWA ....

Tutor B

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2011
Posts
9,025
Reaction score
6,614
Ni swali dogo lakini majibu yake yanatofautiana sana .. Hivi kuoa / kuolewa ni lazima au ni muhimu?

Nawahukuru wote mliotoa michango yenu ila kwangu mimi naona kuoa ni muhimu! Umuhimu wake ni kwa ajili ya kuendeleza kizazi.

Hata Biblia imeliongelea vyema " Ni vyema kila mwanaume na awe na mke wake" ila ikiwezekana ukaweza kujizua kuoa ni sawa. Kumbuka bora kuoa kuliko kuwaka tamaa.

Kama uko hapa unasoma na una zaidi ya miaka 40 hujaoa / kuolewa jitathmini mara mbili mbili. Jambo muhimu hili hujalifanyia kazi unataka nini?
Unataka uwe unamtuma mtoto wa nani?
Unataka ukistaafu nani ashike nafasi yako?
Unataka ukienda kwenye hotel mtoto wa nani akuhudumie?
Unataka pale stand nani fanye zile kazi ....
Unataka nani aendeshe bodaboda ...
JITATHMINI
 
Kuolewa ni heshima! Mke wa Juma ni vzuri kuliko hawala wa Juma
 
Sisi waafrika tuna matatizo makubwa sana ya akili,kuoa au kuolewa siyo lazima ila cha msingi ni kufanya mambo yanayokupa furaha!.....Kama kuoa inakupa furaha just do it kama haikupi furaha put it away!....Kwa mfano mimi suala la kuoa halinipi furaha and i have already just put it away!!
 
Kuoa/Kuolewa ni heshima kwa jamii inayokuzunguka....lakini kwa wale wenye upeo mdogo...kwao kudanga ndo heshima na ujanja
 
Back
Top Bottom