Kunyonya/kulamba tupu husababisha laana?

Kunyonya/kulamba tupu husababisha laana?

Jana Kwenye pitapita zangu nilibahatika kukutana na kiongozi mmoja wa kiroho, nilienda kumshirikisha magumu ninayoyapitia Kwenye biashara, ndoa na social issues.
Akaniambia biashara zangu haziendi kwasababu ya matendo yangu, hasa tendo nikupendalo LA kunyonya tupu ya mke wangu ili kumrahisisha afike kileleni mapema. Nikastaajabu Sana... Kama tumeambiwa tusinyimane iweje tena kuwepo na laana? sikuuluza swali hilo kwasababu niliyemfuata ni kiongozi wa Buddha Upanga
Illovo
 
Last edited by a moderator:
Hata iwe imeoshwa na stilwoya au mchanga wa baharini vijidudu vile haviishi magonjwa ya kaswende kisonono mdomoni yanakuhusu mwanaume bora ya mwanaume haina madhara

Ni kansa ya koo mkuu na siyo hayo mengine
 
Jana Kwenye pitapita zangu nilibahatika kukutana na kiongozi mmoja wa kiroho, nilienda kumshirikisha magumu ninayoyapitia Kwenye biashara, ndoa na social issues.
Akaniambia biashara zangu haziendi kwasababu ya matendo yangu, hasa tendo nikupendalo LA kunyonya tupu ya mke wangu ili kumrahisisha afike kileleni mapema. Nikastaajabu Sana... Kama tumeambiwa tusinyimane iweje tena kuwepo na laana? sikuuluza swali hilo kwasababu niliyemfuata ni kiongozi wa Buddha Upanga

Mmm nina mashaka na huyo mtumishi, kwanza alijuaje kuwa unamnyonya mkeo utupu??/
Mi nachojua Mungu alileta tendo hilo ili tulifurahie hakusema kuna laana nyuma yake, so ignore Him alikosa vya kukushauri
 
Iyo kitu nishidaa je ?! Ukipata fangas kuna msela wangu alinyonya **** Duuu mdomo ulivimba na vidonda kama homa ya usiku mmm sijaribu?

Kuna mshkaji wangu aliipata hiyo kansa ya koo kutoka kwa demu wake mwaka 2011 akaenda hospitali kaambiwa hiyo haina namna tena,nahisi aliichelewesha kidogo.jamaa alikuwa hali kitu chochote cha moto hata chai wala maji ya baridi sana,yeye ni vitu vya vuguvugu tu...then September 2011 akadanja,yule demu alilia sana aisee.
 
Kwa hivo unataka usemaje hapo? Umejichanga mi ninavyoona, hapo maandiko yanazungumzia vijana ambao bado hawajaoa.
Tendo ni tamu kwa waliooa, sasa wewe kama utapenda mwenziio aone raha duniani ni heri umnyonye

Mkewe Daudi aliitwa Mikali, Daudi na wale vijana waliwaacha wake zao nyumbani na kwa siku tatu zile walikuwa hawajalala na wake zao
 
hakuna kitu kama hiyo mimi hapa nanyonya **** huu ni mwaka wa 17 na mambo yangu daily yako kwenye slope na siku ninapobugi haina uhusiano wowote na mnyoyo!

hahahahahaha mku una miaka mingap smahan lakin.
 
Back
Top Bottom