Kunyonya/kulamba tupu husababisha laana?

Kunyonya/kulamba tupu husababisha laana?

TAJIRI MKUU WA MATAJIRI

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
11,017
Reaction score
22,144
Jana Kwenye pitapita zangu nilibahatika kukutana na kiongozi mmoja wa kiroho, nilienda kumshirikisha magumu ninayoyapitia Kwenye biashara, ndoa na social issues.
Akaniambia biashara zangu haziendi kwasababu ya matendo yangu, hasa tendo nikupendalo LA kunyonya tupu ya mke wangu ili kumrahisisha afike kileleni mapema. Nikastaajabu Sana... Kama tumeambiwa tusinyimane iweje tena kuwepo na laana? sikuuluza swali hilo kwasababu niliyemfuata ni kiongozi wa Buddha Upanga
 
ingekuwa kweli mchungaji Illovo angekuwa ashatuambia humu
 
Last edited by a moderator:
Nyie ndio watu mnaoenda kuombewa ili mpate gari badala ya kupambana

Mwanaume unaanzaje kwenda kwa kiongozi gani sijui kumueleza matatizo yako badala ya kupambana kiume hadi unakosa chakuongea unaanza kusema mambo yako ya ndani..

Kama hakupi hela hakupi deal huna sababu ya kumueleza matatizo yako hadi mambo yako ya ndani wewe komaa kiume omba Mungu mwenyewe anakusikia pia kuombewa ombewa achia wanawake.
 
Kimsingi ulifanya kosa sana kwa kutotaka maelezo ya kina kwa kuogopa kuwa ni mwalimu wa kiroho na hili ni tatizo letu wengi sana tena sana .....

Ulipaswa umuulize uhusiano wa laana na tupu za wanadamu ili aweze kukufafanulia maana angekusaidia sana ...

Mambo mengine yanahitaji uwe hamnazo kidogo kuyakubali ...!!
 
Nyie ndio watu mnaoenda kuombewa ili mpate gari badala ya kupambana

Mwanaume unaanzaje kwenda kwa kiongozi gani sijui kumueleza matatizo yako badala ya kupambana kiume hadi unakosa chakuongea unaanza kusema mambo yako ya ndani..

Kama hakupi hela hakupi deal huna sababu ya kumueleza matatizo yako hadi mambo yako ya ndani wewe komaa kiume omba Mungu mwenyewe anakusikia pia kuombewa ombewa achia wanawake.

Kuna wataalam wa ushauri wa mahusiano ambao unakwenda kumueleza mambo ya ndani kabisa,huyu nae ni mjinga?
Kuna wataalam wa uchumi ambao unakwenda kuwaeleza mazingira yako ya kibiashara,huyu nae mjinga?
Kuna wataalam wa ushauri wa maisha kwa ujumla na unakwenda kumueleza maishayako binafsi,huyu nae mjinga?

Au kwako wewe mjinga ni yule anaekwenda kuomba msaada wa kiroho tu?
Au kwako wewe mjinga ni yule anaekwenda kuomba ushauri wa kiuchumi kwa kiongozi wa kiroho tu?
 
ukiacha kumnyonya atachepuka kwani utamuwa kunyonywa nizaidi kuliko dudu
 
Kulamba tupu sio kitu kizuri na kina madhara kiafya. Wengi hapa tumeisha ona picha mbalimbali zikionesha hayo madhara.
Lakini hili jambo limeisha kuwa tabia hisiozuilika na nikama fashion zile kwenye swala la mapenzi.
Naamini hili jambo halina connection yoyote na Lana au mikosi Bali Lina connection na magonjwa ambayo unaweza ya pata baada ya kunyonya tupu isio oshwa na kutunzwa vizuri.
 
Kulamba tupu sio kitu kizuri na kina madhara kiafya. Wengi hapa tumeisha ona picha mbalimbali zikionesha hayo madhara.
Lakini hili jambo limeisha kuwa tabia hisiozuilika na nikama fashion zile kwenye swala la mapenzi.
Naamini hili jambo halina connection yoyote na Lana au mikosi Bali Lina connection na magonjwa ambayo unaweza ya pata baada ya kunyonya tupu isio oshwa na kutunzwa vizuri.

Kunyonywa raha sana.
Hasa ulimi wa mwanaume uwe na vipelepele kama wa paka
 
Back
Top Bottom