Kunyewa na kunguru ina ashiria nini ?

Kunyewa na kunguru ina ashiria nini ?

unakaa sana chini ya miti boss meni!
 
Wanazengo,

Leo nilikua katika mishe mishe zangu kama mnavyojua jua la dar, ikanibidi nielekee beach kupunga Upepo kidogo. Nikapaki kibirit changu pembeni, nikatoka kwenye gari nikaa kwenye kivuli nikatoa sigara yangu nikaanza kuvuta taratibu huku nikitafakari maisha.

Kitu cha kushangaza na kustaajabisha, baada ya dakika kadhaa, nikashangaa nimenyewa na ndege, mavi meupee kwa haraka sikujua ni ndege gani. Ila kulikua na kunguru angani hivyo nikahisi bila shaka ni kunguru kaninyea

Nilishikwa na butwaa sana, nikashangaa maana space ni kubwa why aninyee. Tena mkononi kabisa, hii kitu haijawahi kunitokea kabla. Ni kawaida au kuna kitu au ishara ya jambo fulani ?

Nimejikuta tu nakosa raha na kujiuliza endapo itakua tu ni kawaida au kuna ishara nyingine ya kiimani kuhusu tukio hilo

Tusaidiane mawazo


Sent from my iPhone using JamiiForums

wasanii unao wasema kila kila siku na umbeya wako washa kufanyia mambo
 
Inaashiria wewe ni choo... Na utanyewa sana hata na binadam wenzio usipobadilika tabia zako.
 
Wanazengo,

Leo nilikua katika mishe mishe zangu kama mnavyojua jua la dar, ikanibidi nielekee beach kupunga Upepo kidogo. Nikapaki kibirit changu pembeni, nikatoka kwenye gari nikaa kwenye kivuli nikatoa sigara yangu nikaanza kuvuta taratibu huku nikitafakari maisha.

Kitu cha kushangaza na kustaajabisha, baada ya dakika kadhaa, nikashangaa nimenyewa na ndege, mavi meupee kwa haraka sikujua ni ndege gani. Ila kulikua na kunguru angani hivyo nikahisi bila shaka ni kunguru kaninyea

Nilishikwa na butwaa sana, nikashangaa maana space ni kubwa why aninyee. Tena mkononi kabisa, hii kitu haijawahi kunitokea kabla. Ni kawaida au kuna kitu au ishara ya jambo fulani ?

Nimejikuta tu nakosa raha na kujiuliza endapo itakua tu ni kawaida au kuna ishara nyingine ya kiimani kuhusu tukio hilo

Tusaidiane mawazo


Sent from my iPhone using JamiiForums
Kunguru ana tabia ya kunyea chakula ili ukitupe ale yeye, nakumbuka niliyokuwa shule Kunguru alikuwa anafanya sana huu mchezo kuna siku Kunguru alilenga mavi yake kwenye tundu la soda... Noma sana
Ila according to science Kunguru, dolphin, chimpanzee ni wa nyama wenye ueledi sana wanaoweza kutumia akili kupata solutions
Maybe Kunguru alidhani hiyo sigara unayovuta ni chakula akataka ainyee uitupe ale yeye...
 
Kunguru ana tabia ya kunyea chakula ili ukitupe ale yeye, nakumbuka niliyokuwa shule Kunguru alikuwa anafanya sana huu mchezo kuna siku Kunguru alilenga mavi yake kwenye tundu la soda... Noma sana
Ila according to science Kunguru, dolphin, chimpanzee ni wa nyama wenye ueledi sana wanaoweza kutumia akili kupata solutions
Maybe Kunguru alidhani hiyo sigara unayovuta ni chakula akataka ainyee uitupe ale yeye...
Hili ndio jibu
 
GUNDU Ilo Yaani Nuksi Ha Ha Ha Ha Ha Moyo Umeenda Mbio eeh Nakutani Bhana KawaIda Tu Kunguru Kukunyea Kimba Ha Ha Ha Ha Ha Ondoa Wasiwasi Bro
 
Unajua sisi wanadamu ukiwa na matatizo ya kimaisha ama matarajio furani ambayo hayajii kwa muda uliopanga wewe sasa hata ukijikwaa tu utaomba ushauri ni nini? na ndiyo maana makanisa haya mapya haya hayakosi wateja.
 
Unajua sisi wanadamu ukiwa na matatizo ya kimaisha ama matarajio furani ambayo hayajii kwa muda uliopanga wewe sasa hata ukijikwaa tu utaomba ushauri ni nini? na ndiyo maana makanisa haya mapya haya hayakosi wateja.
Kabisa wakwe2
 
Wanazengo,

Leo nilikua katika mishe mishe zangu kama mnavyojua jua la dar, ikanibidi nielekee beach kupunga Upepo kidogo. Nikapaki kibirit changu pembeni, nikatoka kwenye gari nikaa kwenye kivuli nikatoa sigara yangu nikaanza kuvuta taratibu huku nikitafakari maisha.

Kitu cha kushangaza na kustaajabisha, baada ya dakika kadhaa, nikashangaa nimenyewa na ndege, mavi meupee kwa haraka sikujua ni ndege gani. Ila kulikua na kunguru angani hivyo nikahisi bila shaka ni kunguru kaninyea

Nilishikwa na butwaa sana, nikashangaa maana space ni kubwa why aninyee. Tena mkononi kabisa, hii kitu haijawahi kunitokea kabla. Ni kawaida au kuna kitu au ishara ya jambo fulani ?

Nimejikuta tu nakosa raha na kujiuliza endapo itakua tu ni kawaida au kuna ishara nyingine ya kiimani kuhusu tukio hilo

Tusaidiane mawazo


Sent from my iPhone using JamiiForums
Uendelee kupumzika kwa Aman Warumi
 
Tena mkononi kabisa, hii kitu haijawahi kunitokea kabla.
Na mimi kaninyea leo mkononi nikiwa nmekaa zangu sina time na mtu yaan ghafla tu alafu naangalia simuoni wala nini, au ndio nishapigwa kipapai ghafla? Maana huu mtaa wanga wengi wanaroga hatari,
 
Leo kaninyea kunguru begani bega la kushoto kwa Mara nyingine yaan sijui hata imekuaje napita chini ya nguzo nasikia kitu kimeniangukia begani kuangalia juu naona kunguru juu ya waya wa msitimu, sijamuelewa kabisa yaan amekaa juu pale ananisubiri Mimi nipite ndio anye?
 
Back
Top Bottom